LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Jman nliwahi uliza swali hili watu wakasema ooh serikali imesema itatoa ajira januari wakati kuna tetesi kuwa ajira zimesitishwa hakuna hela kuanzia wizaran hadi serikali jama habari hizi ni kweli?na mbona ajira hazijatoka hadi leo kwa walio sema zitatok mwenye jambo kuhusu hili.