utumishi nafasi zipi?
ungeitwa wewe usingesema nchi inaelekea kuzimu ila wameitwa wenzako ndo unasema ivo
acheni mambo yenu bwana
Usikurupuke namna hiyo bila kutafiti, utawau watu wenye pressure. HAWAJAITWA WATU WOWOTE KWA NAFASI ZA TAR 25 WALA 28 APRIL. Umeniudhi sana maana umenisababishia hasara kubwa ya matibabu kwa kijana hapa nyumbani. Nimekusamehe bure
Usikurupuke namna hiyo bila kutafiti, utawau watu wenye pressure. HAWAJAITWA WATU WOWOTE KWA NAFASI ZA TAR 25 WALA 28 APRIL. Umeniudhi sana maana umenisababishia hasara kubwa ya matibabu kwa kijana hapa nyumbani. Nimekusamehe bure