nyanungu magena
Member
- Nov 27, 2010
- 68
- 4
nasikitika kwa kusema kuwa wenye kufuruga amani tanzania ni ccm maana wao wanaingia kwenye kampeni na silaha so unafirkiri ni nini kitatokea mimi napendekeza watanzania tujiandae kwa lolote maana hali si nzuri kwanza rage ni halamia wa tff kipindi hicho ni kati ya vyongizi wabovu mpaka u masaburi wao.