USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Katika eneo la keko leo katika wilaya ya Temeke, chadema kanda maalumu ya Dar es salaam wamefanikiwa kuendelea na kampeni ya ondoa ccm Dar mkutano uliokuwa umesheheni vijana mbali mbali waliojitambulisha kwa vyeo na majina pia hata kuhutubia huku wahutubiaji wakiwa bwn john heche,mwkt wa bavicha taifa,pia ndg henry kileo katibu wa mkoa kinondoni pia prof safari wakili mahiri na mjumbe wa kamati kuu katika mkutano huu Ujumbe umejikita katika kuwabadilisha watu wa Dar es salaam kuwa chachu ya mabadiliko km majiji mengine walivyofanya ikiwemo Nairobi,bulawayo,kinshasha na kwingineko kwani ndiyo walio karibu na vyombo vya habari na mitandao' katika mkutano huo pia kadi zaidi ya 175 za chama zimeuzwa