Shule za kata at work..Siro anafanya nini Mwanza? acha (kukariri) shehe!
wewe rejao huna ufahamu zaid ya kusubiri fadhila za kikwete upate masalia.kama ni kichanga mngetumia nguvu kubwa kuiba kura na kuwazulia mambo yasiyofaa viongozi wa chadema?kama ni kichanga kura za jakaya wako zilipunguaje?nani alizipunguza?tafakari.usiongee ili mradi umefanya kazi yako ya kulipwa na nape.tatizo hawa cdm hawapo strategically.. Hawajui wanachokitaka!
Kila siku wanatuacha dilema, lengo la lema la kujipeleka mahakaman hatujui lilikuwa nini, wameshaenda tena kumuombea dhamana wenyewe, sasa hivi tena wanataka kuandamana dar, huku tunaona zitto anagombana na nccr mageuzi, mara gazeti ya mwanahalisi! Tunaambiwa tena slaa anatembea na bastola mikutanoni, mara tena mbowe kapotea, alikojificha hapajulikani!
Haya ni matukio machache tu ndani ya muda mfupi yanayokihusu hiki chama ambacho bado ni kichanga sana. Wangejipanga vizuri.
naomba Mungu anisamehe, namchukia Rejao. Comments na avatar yake zinanifanya nione kama ndio shetani mwenyewe!Anapoteza tu muda! akaandamane tu huko vijijini, siyo hapa dar. Huku watu wana ufahamu na wanajitambua. aje kwa staili nyingine!
lol...kumbe hata maana ya invisible huijui? ukilsikia tu unaanza kumuwaza mod wa JF...kweli wewe kilaza!!
Same with mine,just point your cursor on the "reply with qouote" or "reply" tabs,then hiyo ya like ita pop up.Ama simply point cursor mahali ambapo "like" ipo.Ama popote tu kwenye bandiko itatokea.Ha ha ha ha nilitaka niku gongee "LIKE " lakini sizioni sijui kwangu tu..akigoma kutoka magogoni tukimkamata tunamtia jiti panchonyo kama mzee wa Bengazi
Wakati wewe unachungulia na wewe haumo?Wasi wasi wangu ni kwamba,wana JF wengi ni either hawana kazi za kufanya,...
Au walizo nazo hawazifanyi ipasavyo hence,nchi yetu haita endelea.
Kuna watu nikichungulia asubuhi,wamo,.......jioni wamo,....duh
Tatizo hawa CDM hawapo strategically.. hawajui wanachokitaka!
kila siku wanatuacha dilema, Lengo la lema la kujipeleka mahakaman hatujui lilikuwa nini, wameshaenda tena kumuombea dhamana wenyewe, sasa hivi tena wanataka kuandamana dar, huku tunaona Zitto anagombana na NCCR mageuzi, mara gazeti ya mwanahalisi! tunaambiwa tena Slaa anatembea na bastola mikutanoni, mara tena mbowe kapotea, alikojificha hapajulikani!
Haya ni matukio machache tu ndani ya muda mfupi yanayokihusu hiki chama ambacho bado ni kichanga sana. wangejipanga vizuri.
Shule za kata at work..
kutokana na kutwaliwa na vurugu na fujo,jeshi la polisi limepiga marufuku mikutano na maandamano ya wavaa magwanda wa cdm
With the level of Internet conectivity through phones,iPad,laptops etc you shouldnt wonder the level of interaction.Wasi wasi wangu ni kwamba,wana JF wengi ni either hawana kazi za kufanya,...
Au walizo nazo hawazifanyi ipasavyo hence,nchi yetu haita endelea.
Kuna watu nikichungulia asubuhi,wamo,.......jioni wamo,....duh
Unafanya kazi sa'ngapi Riz 1?
leta sosi................nichangie