Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
kuwa na hiace tatu ni hoja nzito huko tarime???
Mbona umesahau na ardhi walionunua yeye na huyo mbunge wa viti maalum?
kuwa na hiace tatu ni hoja nzito huko tarime???
Acha akili mgando. Wewe unasoma hapo UDOM kutafuta nini? Kila mtu anatafuta pesa. Yeye kumiliki shamba na kulipwa na mgodi tatizo liko wapi? ungeniambia eti kaiba mashamba ya wananchi ningekuelewa, lakini kanunua,it is ok. Nafikiri unakawivu fulani juu ya maendeleo ya heche. Sasa anawakilisha vijana wa Africa kule Australia, au hilo ndilo linalokuuma? Wewe ungana na heche muiondoe CCM.Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.
Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.
Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.
Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.
Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.
Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.
Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!
Huyu anaaibisha kada ya wasomi,una majungu sana tu
Haswaaa Heche aje atoe maelezo ili watu tisihangaike. Zitto angekuwa ameishalitolea hili maelezo.Molemo,
Usiameshe mada hizi tuhuma hazina uhusiano na Bavicha, cha msingi Heche aje kujibu hizi tuhuma za kulipwa na mgodi..
Kingine anatakiwa haonyeshe hizo gari tatu kazipataje wakati yeye hana kazi?
Ni hayo tu mkuu wangu.
0713682254 na 0762949282 ndo namba za kamanda mwenye dought amtwangie ili afunguke hapa,huyo kuku kanichefua kwelikweli
Uchaguzi wa Bavicha unatoa watu roho mpaka leo? Jamani kubalini kushindwa yaishe
Hakuna majibu sahihi udom tuko makini sana ndio maana nasema nyie mwambie ajirekebishe ila kama mna tetea msicho kijua subiri wana tarime wakasirike.kulipwa na mgodi kwa uongo ni kosa na maeneo wana wadanganya wasio elewa.