Heche anawasaliti Tarime mara ya pili?

saguge

Member
Apr 10, 2011
34
7
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!
 
Mh!! Sijawai kusikia hili,nadhani inapaswa aje atolee ufafanuzi hii hoja..ni nzito na inaweza chafua hali ya hewa kwake na kwa chama chetu.Kama ni kweli ngoja tusubiri itafahamika tu.
 
Mh!! Sijawai kusikia hili,nadhani inapaswa aje atolee ufafanuzi hii hoja..ni nzito na inaweza chafua hali ya hewa kwake na kwa chama chetu.Kama ni kweli ngoja tusubiri itafahamika tu.

kuwa na hiace tatu ni hoja nzito huko tarime???
 
Hayo sasa Majungu,Chaha alikuwa na Magari hata kabla John Heche hajawa diwani,ina maana ikipanda tu Migomba unalipwa na Mgodi? Hapo U dom uansoma Sayansi kimu na Majungu? Sirari hawapo hivyo muulize mama we ni wa wapi
 
CHADEMA na siasa za kuchumia tumbo....Hata hivyo SAGUGE tambua kuwa siku hizi uzalendo umekwisha kwa watu, kila mtu anajiangalia yeye na familia yake...kama ulitegemea HECHE ataleta maendeleo yoyote kwa wana Nyamongo ujue ndiyo hayo ya Hiece tatu na usubiri ataongeza zingine.
 
CHADEMA na siasa za kuchumia tumbo....Hata hivyo SAGUGE tambua kuwa siku hizi uzalendo umekwisha kwa watu, kila mtu anajiangalia yeye na familia yake...kama ulitegemea HECHE ataleta maendeleo yoyote kwa wana Nyamongo ujue ndiyo hayo ya Hiece tatu na usubiri ataongeza zingine.

Heche km vp aje ajibu hoja lakini si vema kumshambulia mleta thread.
 
HECHE mkiti wangu hebu tolea ufafanuzi kuhusu hili. Mwenye namba yake aweke
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!

Mkuu kwa mtazamo wangu na wewe mwenyewe umesema taarifa hizi ni za mtaani!!!!hivi kweli msomi mzima unaweza kutoa madai ya ajabu kiasi hiki kwa taarifa za mtaani!!??pia inanishangaza kwenye taarifa yako moja unatoa kauli 2!unadai wanapanda migomba ili walipwe na hapo hapo unasema wameshalipwa!!!hapa tushike lipi.

Pia unashangaza kusema kuwa walikimbia Tarime!!kwani mgodi wa nyamongo upo wilaya gani!!??watakimbiaje na bado wawe na shamba kwenye wilaya waliokimbia!!!

Naomba nikusaidie kidogo kuwa nje ya wilaya si kukimbia!!maisha ni maangaiko ndiyo maana hata wewe upo UDOM (kitu ambacho sina uhakika nacho kwa jinsi ulivyoonyesha uwezo mdogo katika kujenga hoja),navyojua heche ni mwenyekiti wa bavicha ambapo ofisi zipo Dar,je ulitaka abaki Tarime wakati kazi zake hazimruhusu kuwa huko?

Inashangaza unaonyesha mtu na sura mbili!!unadai hana kitu anapiga mizinga wabunge!!wakati huo huo unataka kutusadikisha kuwa ana pesa!!

Ndugu yangu nenda kajipange,tafuta taarifa zilizokamilika ili tuwe kwenye wakati mzuri wa kutoa kauli za kujenga si majungu,kumchanganya mwera ambaye yupo cuf na heche kwa wakati mmoja inaonyesha ni kama vile upo upande wa mwita mwikwabe,siasa za ukoo hazitawasaidia watu wa tarime na hata kauli yako eti unatoka sirari ina ukweli kidogo sana,umesema hivyo ili kuonyesha kuwa wewe si wa ukoo tofauti na heche!!kaa mkijua kuwa kwa utaratibu huu wa kikoo unaowatawala kuiondoa ccm kwenye hilo jimbo itakuwa ndoto,Tarime eleweni kuwa mnatukera sana sisi wataka mabadiliko,mnapiga hatua 5 mbele mnarudi nyuma hatua 7!!!
 
Uchaguzi wa Bavicha unatoa watu roho mpaka leo? Jamani kubalini kushindwa yaishe
 
Mh!! Sijawai kusikia hili,nadhani inapaswa aje atolee ufafanuzi hii hoja..ni nzito na inaweza chafua hali ya hewa kwake na kwa chama chetu.Kama ni kweli ngoja tusubiri itafahamika tu.

hakuna cha kujibu hapo,wivu na roho mbaya zimemjaa mleta mada.
 
Hayo sasa Majungu,Chaha alikuwa na Magari hata kabla John Heche hajawa diwani,ina maana ikipanda tu Migomba unalipwa na Mgodi? Hapo U dom uansoma Sayansi kimu na Majungu? Sirari hawapo hivyo muulize mama we ni wa wapi

mkuu umeona,huyu mkurya wa wapi?kijana acha wivv na roho ya kwa nini.soma na wewe ununue vijigari vinavyo kutoa roho.
 
We mleta thread ukome na umbea wako. Kama kitu hujui si uulize? Unapata faida gani kumchafua mtu jukwaani hapa bila sababu? Au umetumwa?
Kwa taarifa yako, Hiace hiace zilizopo ni mbili na hizo zote ni mali ya kaka yake Heche ambaye ni Mwanasheria NEMC.
john Heche namfahamu, hana UKWASI wa kiwango hicho.
Usiruhusu m.at.ako yafikiri badala ya Ubongo! Period!
 
kuwa na hiace tatu ni hoja nzito huko tarime???

Nilivyomuelewa mleta mada ni huyo Heche kuwa na Hiace tatu baada ya kuingia kwenye siasa. Kwa hiyo mtaji wake kisiasa ni kujichumia mali yeye binafsi (kama ilivyo kwa wanasiasa wote wa Tanzania) na si kuwatumikia wananchi.
 
Unauliza swali au unatoa taarifa? ulichoeleza ni majungu na chuki zako binafsi!! wakati wa uchaguzi ulipiga kura au unalalamika tu? Hiace 3 ni issue!!!
 
Mwaka 2010 Heche na ndg zake walikimbia tarime baada ya kushindwa kura za maoni na kupokea pesa na maelekezo kwa mama kabaka ilikupunguza nguvu ya CHADEMA kwa lugha rahisi ni kwamba mateso ya watu wa Tarime Nyamongo, risasi za kanda maalumu ni usaliti wa Heche na mwera kwa kutokubali kushindwa na kwamba uongozi ni kijiti.

Mimi ni mkurya wa Sirari nasoma UDOM nimefuatilia hali ya Tarime juzi nikaambiwa eti Heche na Ester Matiko wameungana wamenunua ardhi Nyamongo wamepanda migomba ili walipwe na mgodi na kwa sasa Heche wana hiace tatu zina simamiwa na mdogo wake Mseti na Chacha Heche.

Maswali muhimu na yanataka majibu ni kwamba kilio kikubwa kwa wanyamongo ni mgodi sasa kama mtu ambaye anajinasibu kama anaweza kuwasemea ni fisadi na amekwisha lipwa na mgodi atakuwa tena na sauti kuhoji mgodini? Kwa sababu kupanda migomba ili ulipwe ni wizi unapaswa kulipwa vitu vilivyo kuwepo si vya kutega kwa makusudi.

Pili Heche anasema uchaguzi ujao hatishwi eti atakuwa na pesa sana kwanza CHADEMA imekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi ya fedha katika uchaguzi sasa heche wana hiace tatu, yeye mwenyewe anajua kwamba hana kazi na wala CHADEMA halimlipi ila ana piga mizinga sana kwa wabunge, ndg yake Chacha Heche hana kazi wala biashara watu wa Tarime nilikuta wana hoji kumbe hawa vijana siasa ni mtaji kwao mara hii magari, majigambo, vijembe mtaani kama wakati wa udiwani hivyo ninapenda kumshauri kaka yangu kuwa asipoteze muda na hoja ya kugombea Tarime wamegundua yeye ni mnafiki na anatafuta namna ya kupata pesa si utetezi na wanapanga kumfanya kama Nyambari kwa sababu wote ni wachumia tumbo!

huu mtandao cku hizi umejaa watu wenye majungu majunguuuuuuuuu!
 
Back
Top Bottom