TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
'NI AIBU SANA KWA SISI BAVICHA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU, MWENYEKITI TANGU AMEKUJA TANGA KWENYE ZIARA HII HAJAWAHI KUOMBA HATA KUONANA NA UONGOZI WA BAVICHA TANGA, HAKUNA HAJA YA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU' ni maelezo ya katibu wa bavicha tanga walipokuwa kwenye kikao cha tathimini ya kuhitimisha mikutano ya ziara ambayo naibu katibu mkuu wa cdm Zito kabwe alikuja na kundi la vina hao, heche, mwampamba, juliana n.k
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.