Heche alipewa kidongo tanga akapanic

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
'NI AIBU SANA KWA SISI BAVICHA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU, MWENYEKITI TANGU AMEKUJA TANGA KWENYE ZIARA HII HAJAWAHI KUOMBA HATA KUONANA NA UONGOZI WA BAVICHA TANGA, HAKUNA HAJA YA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU' ni maelezo ya katibu wa bavicha tanga walipokuwa kwenye kikao cha tathimini ya kuhitimisha mikutano ya ziara ambayo naibu katibu mkuu wa cdm Zito kabwe alikuja na kundi la vina hao, heche, mwampamba, juliana n.k
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.
 
Msijali watu wa Tanga, kila mtu na mapungufu yake!! kinachotakiwa hicho kisiwe sababu ya kuchelewesha ukombozi wa taifa, jitahidini watu wa Tanga kutupa raha kwa kuonyesha kuguswa na hali mbaya za maisha!
 
Hapo ni kuchanganya maada. kwanini watanzania tusijifunze kufuata ratiba? je ratiba ya kukutana BAVICHA ilikuwepo?. Kama haikuwepo sioni kosa lake.

Nikweli lakini Heche anapaswa kujua mkubwa jalala ajaribu kutumia busara wakati anajidefend na kashfa yangu ni hayo kwa leo
 
'NI AIBU SANA KWA SISI BAVICHA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU, MWENYEKITI TANGU AMEKUJA TANGA KWENYE ZIARA HII HAJAWAHI KUOMBA HATA KUONANA NA UONGOZI WA BAVICHA TANGA, HAKUNA HAJA YA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU' ni maelezo ya katibu wa bavicha tanga walipokuwa kwenye kikao cha tathimini ya kuhitimisha mikutano ya ziara ambayo naibu katibu mkuu wa cdm Zito kabwe alikuja na kundi la vina hao, heche, mwampamba, juliana n.k
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.

Wewe ni ndugu yake Kim Kardash na Tumtemeke ambao mnaposti ujinga hapa ujinga kila siku.Kubalini kushindwa uchaguzi mjaribu bahati yenu wakati mwingine.Kushindwa kweni uenyekiti Bavicha na Heche akashinda isiwe balaa.Tukubali demokrasia
 
Wewe ni ndugu yake Kim Kardash na Tumtemeke ambao mnaposti ujinga hapa ujinga kila siku.Kubalini kushindwa uchaguzi mjaribu bahati yenu wakati mwingine.Kushindwa kweni uenyekiti Bavicha na Heche akashinda isiwe balaa.Tukubali demokrasia

wewe ni nani au ndo umetoka kwa kameruni leo? mbona akili zako za kimervi sana, ngoja wakusikie wakupandie
 
wewe ni nani au ndo umetoka kwa kameruni leo? mbona akili zako za kimervi sana, ngoja wakusikie wakupandie

Kutukana kwako kunakuvua nguo kukuonyesha ulivyo na dhamira yako ovu ilivyo.Sisi wote unafahamu sana tulikuwa tunagombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi ule wa Bavicha.Wote tulishindwa.Mbona nyie hamkubali matokeo na kumwachia mwenzetu afanye kazi? Majungu hayatatufikisha popote.Heche usijali songa mbele uchaguzi Bavicha ulishamalizika.Tunakuunga mkono.Asiyekubali kushindwa si mshindani.
 
kutukana kwako kunakuvua nguo kukuonyesha ulivyo na dhamira yako ovu ilivyo.sisi wote unafahamu sana tulikuwa tunagombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi ule wa bavicha.wote tulishindwa.mbona nyie hamkubali matokeo na kumwachia mwenzetu afanye kazi? Majungu hayatatufikisha popote.heche usijali songa mbele uchaguzi bavicha ulishamalizika.tunakuunga mkono.asiyekubali kushindwa si mshindani.

nafikiri wanachadema tujenge chama baada ya kuangaliana boriti iliyo kwenye mboni zetu. Heche anafaa, ndo maana alichaguliwa kuwa m/kiti wa bavicha taifa. La sivyo, tusubiri uchaguzi mwingine. Chadema daima, mbele daima
 
nafikiri wanachadema tujenge chama baada ya kuangaliana boriti iliyo kwenye mboni zetu. Heche anafaa, ndo maana alichaguliwa kuwa m/kiti wa bavicha taifa. La sivyo, tusubiri uchaguzi mwingine. Chadema daima, mbele daima

Nakuunga mkono kwa asilimia mia mkuu.Sisi tuligombea uongozi Bavicha kura hazikutosha akapata mwenzetu.Sasa wengine hawataki kushindwa wanadhani wameonewa ndio maana kila leo watu wanaingia JF na ID tofauti kumtukana Heche na kukikashifu chama.
 
'NI AIBU SANA KWA SISI BAVICHA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU, MWENYEKITI TANGU AMEKUJA TANGA KWENYE ZIARA HII HAJAWAHI KUOMBA HATA KUONANA NA UONGOZI WA BAVICHA TANGA, HAKUNA HAJA YA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU' ni maelezo ya katibu wa bavicha tanga walipokuwa kwenye kikao cha tathimini ya kuhitimisha mikutano ya ziara ambayo naibu katibu mkuu wa cdm Zito kabwe alikuja na kundi la vina hao, heche, mwampamba, juliana n.k
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.

unaonekana dhahiri una chuki binafsi na heche,na umeandika kumkomoa na wala sio kumbadilisha.vijana kama nyie ni hatari ndani ya chadema,heche alionekana anafaa kati ya wote ndo maana akachaguliwa yeye na sio wewe.tujenge chama acha majungu!!
 
unaonekana dhahiri una chuki binafsi na heche,na umeandika kumkomoa na wala sio kumbadilisha.vijana kama nyie ni hatari ndani ya chadema,heche alionekana anafaa kati ya wote ndo maana akachaguliwa yeye na sio wewe.tujenge chama acha majungu!!
Wewe hata Heche anye jukwaani bado utamtetea.
 
Hii post ni ya kimajungu,huyu katibu sijui mwenyekiti bavicha mkoa ndie angetakiwa kuandaa ratiba na kumkaribisha mgeni aongee na wanachama. Na akumbuke heche amekuja na ratiba zake za mikutano ya wananchi hivyo hana haki kutuaminisha vijana kuwa heche alikosea chochote kutokuitisha mkutano wa bavicha tanga.

Nahisi huyu atakuwa gamba,la sivyo ule uchawi wa maji marefu unafanya kazi na jini ndilo linaongea na si yeye.
 
'NI AIBU SANA KWA SISI BAVICHA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU, MWENYEKITI TANGU AMEKUJA TANGA KWENYE ZIARA HII HAJAWAHI KUOMBA HATA KUONANA NA UONGOZI WA BAVICHA TANGA, HAKUNA HAJA YA KUWA NA MWENYEKITI KAMA HUYU' ni maelezo ya katibu wa bavicha tanga walipokuwa kwenye kikao cha tathimini ya kuhitimisha mikutano ya ziara ambayo naibu katibu mkuu wa cdm Zito kabwe alikuja na kundi la vina hao, heche, mwampamba, juliana n.k
baada ya kutupiwa lawama hizo za kweli na zinazoonyesha udhaifu wake, heche alisimama na kuaminisha watu jinsi alivyodhaifu kwani alijibu kwa kupanic na kusema matatizo ya bavicha wilaya tanga sio yake bali ni ya mwenyekiti bavicha wa mkoa, pia akasema hakuwa tanga kwa ajili ya bavicha.
heche anaejiita IGWA ni hasara, baada ya yeye kuondoka wanatanga viongozi na wazee washauri walisema hakuna haja ya kutegemea ushauri kwa kijana kama yule.
Huna akili we! Hii haja kubwa ndo unaileta jamvini tuijadili? Pambaf toa nyesi lako haraka! Jini we!
 
wewe ni nani au ndo umetoka kwa kameruni leo? mbona akili zako za kimervi sana, ngoja wakusikie wakupandie

Hoja yako ilikuwa na mashiko mkuu ila ulivyoiandika si kwa kujenga bali kubomoa. Ndio maana imekuwa rahisi kujua dhamira yako kuandika hii thread. Next time toa kasoro na ushauri bila kuonyesha chuki zako.
 
Wewe hata Heche anye jukwaani bado utamtetea.

inategemea aina gani ya kinyesi na alikuwaje mpaka akajisaidia jukwaani, lakini wewe ambae hauwezi kupembua mkojo na kinyesi ninamashaka maana unaweza ukamuona mtu amelowa jasho ukasema kajikojolea( maana yake ni muhimu kupambanua mambo kabla haujayatolea hukumu)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom