USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
JF
Nanukuu maneno ya Heche Mwkt Taifa BAVICHA kwa vyombo vya habari kimara
"Baada ya jeshi la polisi kukubali kukaa na viongozi wetu kujadili matatizo yaliyopo kati ya polisi na chama chetu, tumekubali kusitisha maandamano yetu hapa dar na nchi nzima ili kutoa nafasi kwa mazungumzo hayo kufanyika,tutaendelea kudai haki bila kuchoka, kama hatutakubaliana katika mambo ya msingi tutawatangazia watanzania wote wapenda haki na demokrasia kwa hatua zaidi. peoples power, MUNGU IBARIKI CHADEMA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
attached kimara pictures.
Nanukuu maneno ya Heche Mwkt Taifa BAVICHA kwa vyombo vya habari kimara
"Baada ya jeshi la polisi kukubali kukaa na viongozi wetu kujadili matatizo yaliyopo kati ya polisi na chama chetu, tumekubali kusitisha maandamano yetu hapa dar na nchi nzima ili kutoa nafasi kwa mazungumzo hayo kufanyika,tutaendelea kudai haki bila kuchoka, kama hatutakubaliana katika mambo ya msingi tutawatangazia watanzania wote wapenda haki na demokrasia kwa hatua zaidi. peoples power, MUNGU IBARIKI CHADEMA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
attached kimara pictures.