Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Hahahaa kaizer huyo babu yako mi ni baba angu tulipoteana miaka mingi sasa ndio nimemuona bado bado nina hamu nae nimelelewa na ba wa kambo sasa nimemuona baba angu wa kweli nna furaha ajabu
Tatizo kuna mijitu itatafsiri vibaya hapo, na mingine itanionea wivu. Ila sisi tuendelee na yetu...
Mtoto hapigiwi kura.....