Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Mie naomba niwaulize ndugu zangu watanganyika, hivi mnadhani kwa jinsi hawa uamsho wanavyotuchukia wabara hii meli ingezama mwanza wangeahirisha vikao vya bara la wawakilishi au hata kushtuka? mkae mkijua hawa watu wanatuchukia vibaya sana na ndio maana walifikia hatua ya kuchoma makanisa kama ishara ya kutuchikia vibaya sana. Mie hizi kelele mnazopiga eti oooh! makinda hana huruma kutokuahirisha bunge, mie nadhani makinda alikuwa mzalendo. hawa watu wamemkosea Mungu wao wenyewe kwa kuchoma makanisa na sasa wanaadhibiwa hapa hapa duniani ili iwe fundisho. na wakirudia tena mie nina uhakika kale kakisiwa katazama kabisaaaa.
MNAKUMBUKA PICHA YA YULE ASKOFU AKILIA BAADA YA KANISA LAKE KUCHOMWA????
JEE ALISEMA NINI BAADA YAKE
ALIMUACHIA MUNGU AMLIPIZIE
YAMETIMIA
MNAKUMBUKA PICHA YA YULE ASKOFU AKILIA BAADA YA KANISA LAKE KUCHOMWA????
JEE ALISEMA NINI BAADA YAKE
ALIMUACHIA MUNGU AMLIPIZIE
YAMETIMIA