gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,670
Asalam aleykum wana jf wote,
Leo naomba kuja na hili japo kuwa ni baya lakin tulijadili tu labda litatupa nafasi wengine ya kujua tujipange vipi katka maisha. Nimekuwa nawaza sana juu ya elim ya Tz na inakoelekea. Siku kwa siku ufaulu wa wanafunzi umeshuka sana wengi wana faulu kwa daraja la 3&4 and yet tunasema kiwango kimeongezeka. Kibaya zaid waalim wa voda fasta hawawez hata kidogo ku coup na wanafunzi hawa wasio na maadili na wale ambao ni slow learners.
Hali hii imefika mahali wazazi wenye hela zao wanapekleka watoto wao st schools na wasio nazo wanapelekwa st halmashauri. Waalim wamepoteza mvuto si tu kwa serikali hii bali hata kwa raia wenyewe kias kwamba wamekata tamaa na kazi yao.
kibaya zaid sisi tulio na moyo wa kazi ambao bado tunadhani ualim ni kazi nzuri hatukutani na mazingira pendwa yanayokufanya uifurahie kazi.
sasa je wewe kama mwana jf unatoa ushauri gani kwa waalimu wa hili taifa?
na je unafikiri taifa lijalo litajengwa na watu wa aina gani kama hatuwez kuzalisha wataalam sisi wenyewe?
je ungeishauri nini serikali ambayo mpaka sasa inajua kuwa mtaalam yeyote anatengenezwa akifikia chuo kiasi kwamba huku chini hali inaachwa ijiendeshe yenyewe?
Naomba tujadili haya kwa hali ya kutafakari zaid kuliko kunyoosheana vidole na ushauri wako utasaidia sana katika kubadili hali hii.
mods tafadhali kama mtaona uzi huu haufit hapa basi uhamishieni kwenye jukwaa la elim pasi kuharibu maana halisi.
Mwalimu
Leo naomba kuja na hili japo kuwa ni baya lakin tulijadili tu labda litatupa nafasi wengine ya kujua tujipange vipi katka maisha. Nimekuwa nawaza sana juu ya elim ya Tz na inakoelekea. Siku kwa siku ufaulu wa wanafunzi umeshuka sana wengi wana faulu kwa daraja la 3&4 and yet tunasema kiwango kimeongezeka. Kibaya zaid waalim wa voda fasta hawawez hata kidogo ku coup na wanafunzi hawa wasio na maadili na wale ambao ni slow learners.
Hali hii imefika mahali wazazi wenye hela zao wanapekleka watoto wao st schools na wasio nazo wanapelekwa st halmashauri. Waalim wamepoteza mvuto si tu kwa serikali hii bali hata kwa raia wenyewe kias kwamba wamekata tamaa na kazi yao.
kibaya zaid sisi tulio na moyo wa kazi ambao bado tunadhani ualim ni kazi nzuri hatukutani na mazingira pendwa yanayokufanya uifurahie kazi.
sasa je wewe kama mwana jf unatoa ushauri gani kwa waalimu wa hili taifa?
na je unafikiri taifa lijalo litajengwa na watu wa aina gani kama hatuwez kuzalisha wataalam sisi wenyewe?
je ungeishauri nini serikali ambayo mpaka sasa inajua kuwa mtaalam yeyote anatengenezwa akifikia chuo kiasi kwamba huku chini hali inaachwa ijiendeshe yenyewe?
Naomba tujadili haya kwa hali ya kutafakari zaid kuliko kunyoosheana vidole na ushauri wako utasaidia sana katika kubadili hali hii.
mods tafadhali kama mtaona uzi huu haufit hapa basi uhamishieni kwenye jukwaa la elim pasi kuharibu maana halisi.
Mwalimu