faizah
Member
- Jun 22, 2011
- 62
- 26
Wana jf naomba tukumbushane kwa wale tuliokuwepo enzi hizo, na kwa faida ya wanetu wa sasa, kinachonifanya nisisahau kikubwa kuliko vyote
kuna kanga zilikuwa zinaitwa teleza za polister nilikuwa nimembebea mdogo wangu nikaenda kisimani wakati najitwisha ndoo nguo ikafunguka mtoto akatumbukia kisimani, kingine
vita vya amini,
kukamatwa kwa jua,
Unga wa yanga
Wenzangu mnakumbuka nini?
kuna kanga zilikuwa zinaitwa teleza za polister nilikuwa nimembebea mdogo wangu nikaenda kisimani wakati najitwisha ndoo nguo ikafunguka mtoto akatumbukia kisimani, kingine
vita vya amini,
kukamatwa kwa jua,
Unga wa yanga
Wenzangu mnakumbuka nini?