Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Wengi tumekuwa tukisikia, kujaribu, kuona, kuwahi ama kushawishi kwa namna moja ama nyingine juu ya suala zima la kutoa mimba.
Kunamambo mengi yanayoweza kupelekea mtu akafikia uamuzi wakutoa mimba, kwa kuangalia hizo sababu zote zinazopelekea watu kutoa mimba tujadiliane kuhusu madhara yanayoweza/yanayopatikana kwa kufanya kitendo hicho iwe KIAFYA au KISAIKOLOJIA. Nahata mengine kama yapo.
Karibuni wadau...
Kunamambo mengi yanayoweza kupelekea mtu akafikia uamuzi wakutoa mimba, kwa kuangalia hizo sababu zote zinazopelekea watu kutoa mimba tujadiliane kuhusu madhara yanayoweza/yanayopatikana kwa kufanya kitendo hicho iwe KIAFYA au KISAIKOLOJIA. Nahata mengine kama yapo.
Karibuni wadau...