@preta,
naomba nitoke nje ya mada kidogo, linapokuja swala la kitandani si tu wanawake wanatakiwa kuwa watundu, hata wanaume pia....... Eiyer alichokoza kuhusu kiuno...... umeona wanaume wanadhani kiuno ni mwanamke tu ndo anatakiwa kukizungusha hapa point ni kuwa ili kushika na kulinda penzi kitandani pia kubnahitajika ubunifu na utundu........
tukienda kwenye tabia za nje sasa.....
wanawake wa siku hizi wanajua kubandika kopi tu....yes kama ulivyosema kujiweka/ona classic, hawafahamu sura si chochote, mavazi si lolote kulinganisha na ujuzi wa kitandani....
sasa tufanyaje? tupeleke vijana wetu jando na unyagoni?
siku hizi hakuna shangazi wa kuzungumza na mabinti zetu...
na hakuna mapori ya kuwafanyia jando vijana wetu..... akizaliwa miezi kazaa unamkata then basi.....
ila nimependa ujumbe ulioufikisha leo kwa wanawake.....
wanawake wa siku hizi wako kimaslahi zaidi atataka nyumba, gari, pesa kujirusha club kwa sana kitandani zero.......wanasahau mapenzi ni sanaa, mwili wa mwenza wako unapaswa uujue vilivyo, unajua ukimshika wapi atasisimka, wapi midadi itampungua wapi "ata-preeze" mapema....... na mwanamke ukijua hivyo hata kitandani hupati shida, akielekea kumaliza kabla hajafika unajua umfanye nini ili safari ihairishwe, vivyo hivyo wanaume, mnapaswa muijue miili ya wapenzi wenu vilivyo na kujua jinsi ya kucheza nayo.......
usione wanandoa wanatunziana ukadhani mchezo...wanafikishana hao
{by the way nadhani somo lako haliwahusu wanaume ambao wakiona sketi tu wana"preeze"}
Hehehehe..... mwambie kabisa nami nikikagua huwa sijui kuacha.... itakula kwake mazima......
Khaa! Leo nimekukubali. Nimevimbiwa!@freema,
ni wajibu wa kila mmoja kwenye mahusiano, kumbuka mahusiano ni mwanaume na mwanamke......
kama mwenzio hajui akufanyie nini ni vyema ukamfundisha...mwelekeze akushike wapi...
muelekeze akufanyie nini.....
nawe ukielekezwa jifunze......
jaribuni style mpya, mbinu mpya utundu mpya kila leo....
badilini sehemu hata mnazofanyia.... siku nyingine malizaneni kwenye gari...... au mahotelini...kama mko wenyewe na kuna ukuta hata garden mnaweza malizana huko....point ni kuwa mfanye sehemu tofauti tofauti ili kuweka ladha na kumbukumbu mpya........
taabu itakuja pale wenza wakishindwa kusomana, pale mwenza anapoelekezwa na kugomba "umejifunzia wapi" nk nk
mapenzi si lelemama, loh
Kutokana na uzi huu hapa.........https://www.jamiiforums.com/mahusia...-kwa-nini-ulinimwaga-why-did-you-dump-me.html.......inatulazim wadada tuelewe kitu kimoja.......
Huwa tunajiuliza kwa nini mwanaume amenicheat.....sasa iko hivi.....
Men cheat where you don'e expect....Ukidhani kwamba kwa uzuri wako na elimu yako basi ndo hatatoka,unajidanganya..ukidhani kwa kujipamba na kujiremba na kunukia vizuri ndio utamshika,unajidanganya...Siri ya kumshika mwanaume iko kwenye vitu ambavyo wanawake wengi wa kisasa hawana muda wa kuvifanya..
Wanajiona wao wamevuka stage hiyo na hawapaswi kufanya kivileeee...Huku ni kujisahau na ni kosa kubwa sana...Girls should always manage their Artistic Rhyme on Bed...Bed is everything to a Man..
Wanawake wengi,wanakazana kuwa Classic,ukiwaona kwa nje ni warembo kwelikweli,ingia nao kwenye penalty box...ZIROOO!!
Wanawake wabaya,wanajijua wao ni wabaya,na hawawezi kushindana na wewe kwenye Mvuto na Muonekano,lakini amini usiamini,wako super ikija suala la Kitanda...Super kuliko..Utakaa na urembo wako,na utampoteza vilevile...Kila akiwaza wapi pa kupata game, wewe utabakia kuwa 2nd choice..The Ugly looking girl will always be the 1st priority because shes the ugliest on Bed..Mapenzi hayana kuremba,ni kazi tu na always the ugliest wins......
Mwenye masikio na asikie......
.
teh teh teh. and what you do on it. Be a wild cat. meek, fierce, lovable & max fun.
aisee....mimi mshaniharibia siku..
kuna mambo huwa napigana nayo kuyafuta katika moyo wangu...
ni memory mbaya sana natamani kuidelete.....
naona kwa leo nisign tu out....
Freema AgyemanBadala ya kwenda kudonoa, mweleze wazi kwamba we mwenzangu mzito kitandani,
Alafu point yangu toka mwanzo kwamba wale wote wanaodanganya wake zao au partners wao sio kwamba partners wao hawafai bali ni hulka ya mtu na tamaa ya mtu.., hata yule anayecheat nae angekuwa ndio mke wake bado angecheat na mtu mwingine .., cheating ina dimensions nyingi sana na mwingine akiwa na mtu mmoja anakuwa bored anataka kujaribu hiki na kile na kile pale.. (kwahio nadhani ku-shift blame ya cheater kwa mtendwa sometime hatuwi fair)pamoja na kukufundisha kote naona huwezi na kwamba hapo ndipo udhaifu wako ulipo hivyo nimeamua kuchapa lapa kutafuta aliyemzuri kunako bed.
Kutokana na uzi huu hapa.........https://www.jamiiforums.com/mahusia...-kwa-nini-ulinimwaga-why-did-you-dump-me.html.......inatulazim wadada tuelewe kitu kimoja.......
Huwa tunajiuliza kwa nini mwanaume amenicheat.....sasa iko hivi.....
Men cheat where you don'e expect....Ukidhani kwamba kwa uzuri wako na elimu yako basi ndo hatatoka,unajidanganya..ukidhani kwa kujipamba na kujiremba na kunukia vizuri ndio utamshika,unajidanganya...Siri ya kumshika mwanaume iko kwenye vitu ambavyo wanawake wengi wa kisasa hawana muda wa kuvifanya..
Wanajiona wao wamevuka stage hiyo na hawapaswi kufanya kivileeee...Huku ni kujisahau na ni kosa kubwa sana...Girls should always manage their Artistic Rhyme on Bed...Bed is everything to a Man..
Wanawake wengi,wanakazana kuwa Classic,ukiwaona kwa nje ni warembo kwelikweli,ingia nao kwenye penalty box...ZIROOO!!
Wanawake wabaya,wanajijua wao ni wabaya,na hawawezi kushindana na wewe kwenye Mvuto na Muonekano,lakini amini usiamini,wako super ikija suala la Kitanda...Super kuliko..Utakaa na urembo wako,na utampoteza vilevile...Kila akiwaza wapi pa kupata game, wewe utabakia kuwa 2nd choice..The Ugly looking girl will always be the 1st priority because shes the ugliest on Bed..Mapenzi hayana kuremba,ni kazi tu na always the ugliest wins......
Mwenye masikio na asikie......
Yaani unakuwa kwenye mahusiano kwa ajili ya kumplease mtu? wonders shall never end.
Mtoa mada nadhani huu ni mwendelezo wa upotoshaji kuhusu mapenzi.
Haiyumkini ungewafunda wenzio, wake na waume kwa mapenzi ni unique relationship kama ambavyo watu ni unique. hivyo kuwa mzuri kitandani pia ni moja ya factors na sio kila kitu kwenye mapenzi.
Wangapi unaowajua (kama ulivyoeleza unawajua) ni wazuri kitandani na bado mapenzi yanawashinda?
Katika smo la kufunda, mwalimu mzuri atakuambia usikopi mahusiano ya ndugu, jamaa, rafiki au jirani.
Aso hili ana lile, fanya mahusiano yako ya mapenzi yawe ya pekee kwa kumsoma mwenzio, kuwa tayari kuadjust at most 50%, be yourself usilete maigizo mapenzini then timiza wajibu wako bila kusubiri mwenzio nae atimize wake.