OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Huko kwenye BED hao wababa wanapamudu kweli,
au ndo kamoja leo tena anasikilizia siku tatu anashtuka tena.
Habari ndio hiyo mmeletewa.....ila kila mnapoambiwa ukweli hata na wanawake wenzenu lawama mnaelekeza kwa wababa..........!!!!!!!! Banaaa wee kama mboga haina ladha ya nini kukera nafsi.....kama hawana nguvu mbona kila kukicha .... oonh waume wana vimada....ooonh wanaume ni mbwa.......hawaaaminiki.....ooonh hawatosheki n ol that..................????????
We drink what quenches our thirsty throats...................