Hebu soma dialogue hizi za wanandoa vijana wa hapa uswazi kwetu.

Hii imetokea jana tu live kabisa hapa Ninapoishi, sasa huyu alimwangushia kipondo dada wa watu leo kaamuaka uso wote umeumka. Binafsi nimeongea na huyu mkaka, kama umemchoka mkeo its better umrudishie kwao, kuliko kumnyanyasa, humwachii hela za chakula bado ukiombwa hela unaanza kumpiga, hakunijibu kitu, hata hivyo vijana wanakimbilia kuoa wakati uwezo wa kuhudumia hao wanawake hawana

Hawa ni wanandoa wawili vijana wanaoishi pamoja though hawana mtoto,bwana ni konda kwenye magari makubwa na bibi ni mama wa nyumbani tuu.Sasa soma kidogo moja ya maongezi yao asubuhi moja;
Bibi: naomba hela ya matumizi ya leo,kila kitu kimeisha ndani.
Bwana:mimi sina hela
Bibi:sasa kama huna hela unadhani mimi nitakula nini leo na wewe ukienda kazini unakula hukohuko?
Bwana:nishakwambia sina hela,kama unaona mimi huwa nakula kazini twende na wewe ukale huko kazini.
Bibi:lakini jana umekuja umelewa,sasa kama huna hela hiyo ya kunywea umepata wapi?
Bwana:we mwanamke acha kunisumbua,nitakuchenjia sasa hivi ohooo
Bibi:mi bora unichenjie lakini lazima uniachie hela ya matumizi.
Bwana:we mshenzi kweli,unajua hela inavyotafutwa,SI UENDE UKATO*** HIYO K***A YAKO ILI UPATE HELA YA KULA.
Bibi:anakuwa mpole huku machozi yanamtoka.
Baada ya mume kuondoka kwenda kazini,bibi huku nyuma kweli na yeye akajiremba safari huyo kutafuta pesa kwa njia aliyoambiwa na mumewe.
MY TAKE:
Hivi ndivyo maisha ya ndoa yalivyo jamani?kama watu hamko tayari kuoa kwann uharakie?na kama umemchoka mwenzakao si umuambie ukweli tuu kuliko vituko na dharau zote hizi kwa mwenzio.
 
NO!!! hii si kweli!!!!unatoa wapi uongo huu?wengine ndoa ni pepo ya hapa duniani.....usiwe unakariri na kugeneralize issues!:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
"Kama unataka kupoteza sehemu ya uhuru wako ingia kwenye ndoa"
AMANI IWE NASI...
 
Opinion yangu ni kuwa maisha ya ndoa hayako hivo hata kidogo. Wapo wachache wanaosumbuliwa na matatizo ya ndoa kutokana na kushindwa kuwaelewa wenzi wao na kushindwa kuvumiliana, lakini ni asilimia ndogo sana kulinganisha na wale wenye ndoa zilizotulia ....

ndoa nyingi zinamatatizo lakini matatizo hayo hutofautiana,wengi wenye matatizo hupenda kuyafanya kuwa siri ndani ya mioyo yao,kwa ishu ya hawa wana ndoa ninaowazungumzia hali imekuwa mbaya,watu wanadhani hii stori nimetunga,ukweli ni kwamba hii ni stori ya kweli 100% na yahayoendelea kwa sasa ni kizazaa mtupu.
 
Hii imetokea jana tu live kabisa hapa Ninapoishi, sasa huyu alimwangushia kipondo dada wa watu leo kaamuaka uso wote umeumka. Binafsi nimeongea na huyu mkaka, kama umemchoka mkeo its better umrudishie kwao, kuliko kumnyanyasa, humwachii hela za chakula bado ukiombwa hela unaanza kumpiga, hakunijibu kitu, hata hivyo vijana wanakimbilia kuoa wakati uwezo wa kuhudumia hao wanawake hawana

ndugu ndoa nyingi zina mambo ya kutisha,tunashuhudia mengi sana huku mitaani ila ukiwaambia watu wa jf wanasema stori za kutunga,ndoa nyingi hazina amani kabisaa.
 
Hawa ni wanandoa wawili vijana wanaoishi pamoja though hawana mtoto,bwana ni konda kwenye magari makubwa na bibi ni mama wa nyumbani tuu.Sasa soma kidogo moja ya maongezi yao asubuhi moja;
Bibi: naomba hela ya matumizi ya leo,kila kitu kimeisha ndani.
Bwana:mimi sina hela
Bibi:sasa kama huna hela unadhani mimi nitakula nini leo na wewe ukienda kazini unakula hukohuko?
Bwana:nishakwambia sina hela,kama unaona mimi huwa nakula kazini twende na wewe ukale huko kazini.
Bibi:lakini jana umekuja umelewa,sasa kama huna hela hiyo ya kunywea umepata wapi?
Bwana:we mwanamke acha kunisumbua,nitakuchenjia sasa hivi ohooo
Bibi:mi bora unichenjie lakini lazima uniachie hela ya matumizi.
Bwana:we mshenzi kweli,unajua hela inavyotafutwa,SI UENDE UKATO*** HIYO K***A YAKO ILI UPATE HELA YA KULA.
Bibi:anakuwa mpole huku machozi yanamtoka.
Baada ya mume kuondoka kwenda kazini,bibi huku nyuma kweli na yeye akajiremba safari huyo kutafuta pesa kwa njia aliyoambiwa na mumewe.
MY TAKE:
Hivi ndivyo maisha ya ndoa yalivyo jamani?kama watu hamko tayari kuoa kwann uharakie?na kama umemchoka mwenzakao si umuambie ukweli tuu kuliko vituko na dharau zote hizi kwa mwenzio.

Nakapanya, nadhani hii topic yako inatuonyesha yale ambayo kwa kweli yanatokea ndani ya baadhi ya majumbani yetu. Ningependa kisistiza neno "baadhi." Kwa mtazamo wangu ni kwamba hawa wanandoa kwenye huu mfano wako wameishachokana. Huyo mume anachotakiwa ni kutoa talaka badala ya kumshauri kwenda kujiuza.

Ebu fikiria kidogo; Ukifuga mbwa (mnyama) na ambaye unamjali, zaidi ya kumpa mabaki ya chakula cha nyumbani, wakati mwingine unaenda kumtafutia chakula nje ili kuhakikisha anashiba. Sasa inakuwaje unamuacha mke wako wa ndoa bila chochote kutwa nzima? Halafu akikuuliza unakuja juu?
 
....
Ebu fikiria kidogo; Ukifuga mbwa (mnyama) na ambaye unamjali, zaidi ya kumpa mabaki ya chakula cha nyumbani, wakati mwingine unaenda kumtafutia chakula nje ili kuhakikisha anashiba. Sasa inakuwaje unamuacha mke wako wa ndoa bila chochote kutwa nzima? Halafu akikuuliza unakuja juu?
very bad comparison, kuna watu watakuwa offended hapa
 
Nakapanya, nadhani hii topic yako inatuonyesha yale ambayo kwa kweli yanatokea ndani ya baadhi ya majumbani yetu. Ningependa kisistiza neno "baadhi." Kwa mtazamo wangu ni kwamba hawa wanandoa kwenye huu mfano wako wameishachokana. Huyo mume anachotakiwa ni kutoa talaka badala ya kumshauri kwenda kujiuza.

Ebu fikiria kidogo; Ukifuga mbwa (mnyama) na ambaye unamjali, zaidi ya kumpa mabaki ya chakula cha nyumbani, wakati mwingine unaenda kumtafutia chakula nje ili kuhakikisha anashiba. Sasa inakuwaje unamuacha mke wako wa ndoa bila chochote kutwa nzima? Halafu akikuuliza unakuja juu?

unayosema ni kweli kabisa;ndio aana nikasema kama amemchoka si amrudishe kwao,hivi ninavyokwambia bibie huyo juzi aliaga anakwenda kusalimia kwao na kuahidi atarudi siku hiyohiyo lakini hadi naandika hv sasa bado hajarudi na bwana yuko comfotabo tuu yani kifupi hajali.
 
Back
Top Bottom