Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
sure sure mtakatifu roya....
halafu katika zama hizi za maisha mafupi KWANIN UJIFUNGIE KWENYE KISIWA CHA UPWEKE KWA MUDA WOTE HUO?...
Labda hajui utamu!!.......unaweza ukawa kwenye mahusiano ambayo huioni raha!
Huyu anataka kuweka button ya KUPENA ON..........KUPENDA OFF. hiyo kitu haipo.........Kupenda ni sawa na umeme wa Tanesco........huwezi kuamua sasa unawaka au unakatika.