No comment! lol
Kwelii kabisa si ndo hata mimi najiuliza kwanini nisikusifu.Jamani Fazaa si nisifie tu nifurahi kwa mbali sifa hazifiki? leo weekend....lol... Nafurahi umenipata.
In addition......men are innocent creatures from 'Mars', they neither concern nor do they smell the character of the Earth planet! According to rule 'men superiority'......all women are inferior and wrong doer species,,,, therefore the whole burden of guilty shall lie to women and it is punishable as per the "Men's will"!!! How wonderful.....lol!
Kwelii kabisa si ndo hata mimi najiuliza kwanini nisikusifu.
Sasa nianze kusifu macho yako mana ndo nayaona na yanavutia kweli kweli, sijui lini yatakuja karibu yangu mana nimeisha ona kama sasa hivi I'm a prisoner of ur eyes:biggrin:
Kipipi dearest believing you are among a few female species who understand what you have just posted, I take it for a fact that you do understand too that we women just make and let them feel/say and do that because at the end of the day... We know for a fact who rules the world...lol
Hapo chacha, labda kwasababu wanawake tunarun dunia.
Mj mambo?
wanawake wana-run dunia.
Si unajua kila boss ana aboss wake.
Eti boss wa dunia sasa hivi ni Michelle Obama.
Sawa lakini ukumbuke kuwa hili jukwaa ni la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki:
Mahusiano: Sidhani kama wewe unaweza kuwa na mahusiano na kiumbe tofauti zaidi ya mwanadamu mwenzio kama sio mwanamke basi ni mwanaume?
Mapenzi: Hauwezi kuwa na mapenzi na kiumbe tofauti baina ya mwanamke na mwanaume.
Urafiki: ni kati ya mwanamke na mwanaume, au mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke.
Kwahiyo ni lazima mwanamke atatajwa tu, au mwanaume atatajwa tu katika jukwaa hili!
Ndio hua nashindwa kuelewa dhana ya kusema wanawake ni walalamikaji hua yatoka wapi? How come sisi hatu complain hivo? Asante M_Jeuri bora mwanaume mwenzao umeongea...
Wewe kweli unashangaza hivi hujui hata vitabu vya mungu vinasema lazima tuowe....Yani ungejua umuhimu wa wa wanawake usinge kuja na thread hii.
Asiye penda wanawake nani? hata wanyama ambao hawana akili akipita mnyama jike unaona anamrukia kwa furaha iwe binadamu wenye akili unataka wasipende wanawake.
Jamani Fazaa basi nyie wanaume have a strange way ya kuonesha mwatupenda..... Mbona sasa threads nyiingi ni za kutuponda na za sifa ni chache? ni nadra saana akaja mkaka hapa jamvini na kuanza kusifia wanawake kwa mengi ambayo twaweza, inakuaje siku zoote ni lawama tu?
Kupondana ni lazima, tusipo pondana hatutajifunza.
Yani hata mimi kama wife wangu atakuwa ananisifu kila siku, basi lazima tachukia tajua ananiona mwehu....mimi napenda sana pale wife wangu ananisomea makosa yangu hapo ndo najua ananipenda :biggrin:
Mungu aliwaumba wanawake wasiwe na akili lakini watumie akili ya wanaume kuwaendesha. REVERSE PSYCHOLOGY ONE ON ONE.
Uzi wako mwenyewe umewataja wanawake, hivi anayekuonyesha makosa yako na anayekusifia tu yupi bora?! Kama hujui challenge zinakufanya uwe bora zaidi.
Wewe jaza server tu lakini ujue wanawake wataendelea kusemwa kwa sababu ni viumbe dhaifu sana wao ndio walio mstari wa mbele kuongoza tabia mbaya hasa za kingono.
Nawaombeni radhi kwa hili wanawake hivi nyie mkiombwa kufanya ngono mkakataa kuna mwanaume atawalazimisha, tamaa zenu ndizo zinawafanya msakamwe kila uchao na mtazidi kudhalilishwa kwa sababu mmeanza kujidhalilisha wenyewe.
Badilikeni acheni udhaifu wa kujinga eti unamuonea huruma huyu mwanaume ndo maana ukamwachia mzigo baada ya hapo eti mnasemwa shame on you wenye tabia kama hizi na tutazidi kuwasema
Men are so much clean...very perfect species! They never make mistakes...but they make full of proud! According to rule 'men head', it is an offence for them to reveal the best angles of women though it is not punishable....ROFL!!!