Hebu punguzeni ..............

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
6,829
1,296
Kha! mpaka inakera.....sasa...................wanawaaaaaaake wanawake.......wanawakeeeeeeeee

Mie ni dume lakini kwakweli nakereka na utitiri wa hizi mada za kuhusu wanawake................kwanini tunazungumzia watu na sio matatizo na mbinu za kutatua?

Tunavyonyoosha vidole twajiuliza kuwa tumesababisha haya kutokea kwa kiasi gani .................sisi kama wanaume?

With a serious note!
 
wanawake wana-run dunia.
Si unajua kila boss ana aboss wake.
Eti boss wa dunia sasa hivi ni Michelle Obama.
 
Sawa lakini ukumbuke kuwa hili jukwaa ni la Mahusiano, Mapenzi na Urafiki:

Mahusiano: Sidhani kama wewe unaweza kuwa na mahusiano na kiumbe tofauti zaidi ya mwanadamu mwenzio kama sio mwanamke basi ni mwanaume?
Mapenzi: Hauwezi kuwa na mapenzi na kiumbe tofauti baina ya mwanamke na mwanaume.
Urafiki: ni kati ya mwanamke na mwanaume, au mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke.
Kwahiyo ni lazima mwanamke atatajwa tu, au mwanaume atatajwa tu katika jukwaa hili!
 
Ndio hua nashindwa kuelewa dhana ya kusema wanawake ni walalamikaji hua yatoka wapi? How come sisi hatu complain hivo? Asante M_Jeuri bora mwanaume mwenzao umeongea...
 
Wewe kweli unashangaza hivi hujui hata vitabu vya mungu vinasema lazima tuowe....Yani ungejua umuhimu wa wa wanawake usinge kuja na thread hii.

Asiye penda wanawake nani? hata wanyama ambao hawana akili akipita mnyama jike unaona anamrukia kwa furaha iwe binadamu wenye akili unataka wasipende wanawake.
 
Wewe kweli unashangaza hivi hujui ahata vitabu vya mungu vinasema lazima tuowe....Yani ungejua umuhimu wa wa wanawake usinge kuja na thread hii.

Asiye penda wanawake nani? hata wanyama ambao hawana akili akipita jike unaona anamrukia kwa furaha iwe binadamu wenye akili unataka wasipende wanawake.

Nend akanywe pombe wacha vijana wachangamkie wanawake.



Jamani Fazaa basi nyie wanaume have a strange way ya kuonesha mwatupenda..... Mbona sasa threads nyiingi ni za kutuponda na za sifa ni chache? ni nadra saana akaja mkaka hapa jamvini na kuanza kusifia wanawake kwa mengi ambayo twaweza, inakuaje siku zoote ni lawama tu?
 
Jamani Fazaa basi nyie wanaume have a strange way ya kuonesha mwatupenda..... Mbona sasa threads nyiingi ni za kutuponda na za sifa ni chache? ni nadra saana akaja mkaka hapa jamvini na kuanza kusifia wanawake kwa mengi ambayo twaweza, inakuaje siku zoote ni lawama tu?
Kupondana ni lazima, tusipo pondana hatutajifunza.

Yani hata mimi kama wife wangu atakuwa ananisifu kila siku, basi lazima tachukia tajua ananiona mwehu....mimi napenda sana pale wife wangu ananisomea makosa yangu hapo ndo najua ananipenda :biggrin:
 
Mungu aliwaumba wanawake wasiwe na akili lakini watumie akili ya wanaume kuwaendesha. REVERSE PSYCHOLOGY ONE ON ONE.
 
Kupondana ni lazima, tusipo pondana hatutajifunza.

Yani hata mimi kama wife wangu atakuwa ananisifu kila siku, basi lazima tachukia tajua ananiona mwehu....mimi napenda sana pale wife wangu ananisomea makosa yangu hapo ndo najua ananipenda :biggrin:


Hujanipata.... Sikatai kuponda.... nakataaa kuponga tu! bila kumsifia huyo mkeo.... Hivo akikosea utumie kipaza, akipatia yaishie moyoni?
 
Uzi wako mwenyewe umewataja wanawake, hivi anayekuonyesha makosa yako na anayekusifia tu yupi bora?! Kama hujui challenge zinakufanya uwe bora zaidi.
 
Hujanipata.... Sikatai kuponda.... nakataaa kuponga tu! bila kumsifia huyo mkeo.... Hivo akikosea utumie kipaza, akipatia yaishie moyoni?
OK nimekupata sasa.....Mimi kusifia wanawake ndo tabia yangu, yani hata wewe ungekuwa mbele yangu ningeisha kusifiia :biggrin:
 
OK nimekupata sasa.....Mimi kusifia wanawake ndo tabia yangu, yani hata wewe ungekuwa mbele yangu ningeisha kusifiia :biggrin:


Jamani Fazaa si nisifie tu nifurahi kwa mbali sifa hazifiki? leo weekend....lol... Nafurahi umenipata.
 
Wewe jaza server tu lakini ujue wanawake wataendelea kusemwa kwa sababu ni viumbe dhaifu sana wao ndio walio mstari wa mbele kuongoza tabia mbaya hasa za kingono.
Nawaombeni radhi kwa hili wanawake hivi nyie mkiombwa kufanya ngono mkakataa kuna mwanaume atawalazimisha, tamaa zenu ndizo zinawafanya msakamwe kila uchao na mtazidi kudhalilishwa kwa sababu mmeanza kujidhalilisha wenyewe.
Badilikeni acheni udhaifu wa kujinga eti unamuonea huruma huyu mwanaume ndo maana ukamwachia mzigo baada ya hapo eti mnasemwa shame on you wenye tabia kama hizi na tutazidi kuwasema
 
What I said about women is true; I quoted from the Ahadth of Prophet Muhamad(saw) Wazungu wana methali yao inyo sema "WHEREVER THERE IS A KING, THERE IS A MUCH POWERFULL QUEEN"

Abubakar Sidiqu(ra) alikuwa akitoa khutba nzuri sana za ijumaa. Mkewe aliposikia hivyo akamkorofisha just before kuelekea kwenye sala ya ijumaa. Siku hiyo hakutoa khutba yeyote.

Kadhalika embu fikiria kwa nini boss siku zote akifurahishwa na wife wake offisini anakuwa best to all. Lakini kama mama ngina akimkorofisha tu, offisi haikaliki.

Vipi Hawa aliweza kum seduce Adam!!!!!Lizzy,Ashadee, smile I hope I have not ofended you and all ladies in JF. Sisi tunajenga magorofa all these are to show you ladies. After all hata Tausi ni jogoo ndiye aliyekuwa anabeba jikia kubwa la meremeta and all for whom. To impress chicks.
 
What I said about women is true; I quoted from the Ahadth of Prophet Muhamad(saw) Wazungu wana methali yao inyo sema "WHEREVER THERE IS A KING, THERE IS A MUCH POWERFULL QUEEN"

Abubakar Sidiqu(ra) alikuwa akitoa khutba nzuri sana za ijumaa. Mkewe aliposikia hivyo akamkorofisha just before kuelekea kwenye sala ya ijumaa. Siku hiyo hakutoa khutba yeyote.

Kadhalika embu fikiria kwa nini boss siku zote akifurahishwa na wife wake offisini anakuwa best to all. Lakini kama mama ngina akimkorofisha tu, offisi haikaliki.

Vipi Hawa aliweza kum seduce Adam!!!!!Lizzy,Ashadee, smile I hope I have not ofended you and all ladies in JF. Sisi tunajenga magorofa all these are to show you ladies. After all hata Tausi ni jogoo ndiye aliyekuwa anabeba jikia kubwa la meremeta and all for whom. To impress chicks.


Your words are true to the core.... I love them and they are my Belief, I don't mind if men talk about women all the time (after all they are thinking of them every few seconds); What I mind thou is that this forum (MMU) is full of subjects reprimanding women in all angles, but no single thread is their to positively talk about us in the Great things we aspire to do for you species....
 
Your words are true to the core.... I love them and they are my Belief, I don't mind if men talk about women all the time (after all they are thinking of them every few seconds); What I mind thou is that this forum (MMU) is full of subjects reprimanding women in all angles, but no single thread is their to positively talk about us in the Great things we aspire to do for you species....

Men are so much clean...very perfect species! They never make mistakes...but they make full of proud! According to rule 'men head', it is an offence for them to reveal the best angles of women though it is not punishable....ROFL!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom