Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Kha! mpaka inakera.....sasa...................wanawaaaaaaake wanawake.......wanawakeeeeeeeee
Mie ni dume lakini kwakweli nakereka na utitiri wa hizi mada za kuhusu wanawake................kwanini tunazungumzia watu na sio matatizo na mbinu za kutatua?
Tunavyonyoosha vidole twajiuliza kuwa tumesababisha haya kutokea kwa kiasi gani .................sisi kama wanaume?
With a serious note!
Mie ni dume lakini kwakweli nakereka na utitiri wa hizi mada za kuhusu wanawake................kwanini tunazungumzia watu na sio matatizo na mbinu za kutatua?
Tunavyonyoosha vidole twajiuliza kuwa tumesababisha haya kutokea kwa kiasi gani .................sisi kama wanaume?
With a serious note!