Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Wana JF nimeshistushwa sana na taarifa kuwa serikali yetu inadaiwa 3.1 trillion na mfuko wa pension kwa watumishi wa umma. Swali langu kuu, hili deni ilikuwaje hadi likafikia kiwango kikubwa cha kutisha kiasi hicho? Mazingira ya deni hilo yasije kuwa ya kifisadi au kuchangia kampeni!
Naombeni wana JF mchangie baada ya kusoma link hii PSPF yaidai Serikali Sh3 trilioni kwa habari hyo zaidi!
Unadaiwa 3.1 trillion unasema umeanza kulipa 5.9bill tena nadhani ni baada ya kusikia kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), ipo mlangoni.
Naombeni wana JF mchangie baada ya kusoma link hii PSPF yaidai Serikali Sh3 trilioni kwa habari hyo zaidi!
Unadaiwa 3.1 trillion unasema umeanza kulipa 5.9bill tena nadhani ni baada ya kusikia kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), ipo mlangoni.