Ina maana kule kwa kawaida hakuna wanaopita kwa sababu hao ndio wanaoweza kulipia tickets za ndege. Kwa mantiki hii, kule kwa kawaida ndio kunakuwa VIP. watu wanajinafasi kwa uhuru while VIP ni congested.
Kwanini Maaskofu wote lakini Sheikh wa Mkoa tu?
Mh....Nashukuru na mie nimo kwenye hiyo orodha.........................