Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
Mkuu Wewe ni mkali wa kugundua mambo yasioweza kufikirika kwa haraka..hii picha nimeshaingalia mara kadhaa lakin sikuweza kuona hiyo mavitu uliyogundua. Kweli mkuu hatutoendelea..too much kiongozi
kwa kweli mkuu ni mtafiti na mpembuzi
hii kali