Hebu mwoneni huyu dogo

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Dogo.jpg
 
2011-02-07_1653.png


Watz bana....ndo maana hatutokaa tuendelee hadi tumeacha USHIRIKINA. Sana ndo nini kumvisha malaika huyu MAHIRIZI haya? Ndo maana kanakula hakashibi, kisa, kumbe mmemvisha mtoto mapepo. TUBADILIKE JAMANI!!!!!!!KWA YESU KUNA JIBU!!!!!!!!
 
2011-02-07_1653.png


Watz bana....ndo maana hatutokaa tuendelee hadi tumeacha USHIRIKINA. Sana ndo nini kumvisha malaika huyu MAHIRIZI haya? Ndo maana kanakula hakashibi, kisa, kumbe mmemvisha mtoto mapepo. TUBADILIKE JAMANI!!!!!!!KWA YESU KUNA JIBU!!!!!!!!


kwa kweli mkuu ni mtafiti na mpembuzi

hii kali
 
Hizo Hirizi zote za nini aliye vikwa anaelewa maana yake? au kumwongezea uzito!!! Kanavyo fukia sasa utafikiri kanaenda mkoa kwa kutambaa!
 
NA WE UNA MACHO...... CHABO EXPERT NINI?.........UTANI TU..:laugh:
 
Na hivyo vipande vya ndimu kwenye sinia alikuwa anakula dogo au wakubwa wametupia?
 
Toto anaonekana anaenjoy mwenyewe, hivi inamaana huto tukamba kamba ni tuhirizi kweli..
 
2011-02-07_1653.png


Watz bana....ndo maana hatutokaa tuendelee hadi tumeacha USHIRIKINA. Sana ndo nini kumvisha malaika huyu MAHIRIZI haya? Ndo maana kanakula hakashibi, kisa, kumbe mmemvisha mtoto mapepo. TUBADILIKE JAMANI!!!!!!!KWA YESU KUNA JIBU!!!!!!!!

Mh!kweli mkuu uko makini!umegundua ushirikina unaofanywa na wajinga!!
 
Mkuu nimekukubali kwa kuchunguza
BASI YAWEZEKANA DOGO HAPO NI KIPITISHIO TU ANAKULA WANASHIBA WENGINE.
MI SIMO
 
2011-02-07_1653.png


Watz bana....ndo maana hatutokaa tuendelee hadi tumeacha USHIRIKINA. Sana ndo nini kumvisha malaika huyu MAHIRIZI haya? Ndo maana kanakula hakashibi, kisa, kumbe mmemvisha mtoto mapepo. TUBADILIKE JAMANI!!!!!!!KWA YESU KUNA JIBU!!!!!!!!


Mmmmh kweli wewe ndo umeiona picha ya mtoto, mi nilianza kuona pilau.
Big up umesema kweli.
 
2011-02-07_1653.png


Watz bana....ndo maana hatutokaa tuendelee hadi tumeacha USHIRIKINA. Sana ndo nini kumvisha malaika huyu MAHIRIZI haya? Ndo maana kanakula hakashibi, kisa, kumbe mmemvisha mtoto mapepo. TUBADILIKE JAMANI!!!!!!!KWA YESU KUNA JIBU!!!!!!!!
bwahahahahha..
.....ndio maana napenda kuwaambia waliovamia internet sio kila kitu unapost online..hata kama unataka kumpa shosti wako flag....
..yule dinah kaweka hii kitu....hakujua bwa ha ha idiot kweli.....
 
Back
Top Bottom