Hebu msaada kidogo wakuu !

MARCKO

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
2,258
274
Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!
 
Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!

Hilo ni tatizo na anapaswa kuwaona wataalam wa afya hasa wa magonjwa ya ndani.
Poleni
 
Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!

Hilo ni tatizo na anapaswa kuwaona wataalam wa afya hasa wa magonjwa ya ndani.
Poleni
 
Kuna tatizo gani linalosabisha mwanamke kutoa damu kila anapofanya mapenzi? Yeye anasema anashanga hata baada ya hedhi damu inaendelea kila kazi inapopigwa! Mbona hiyo discharge siyo kawaida?. Ni damu inayo chafua kitanda 'mno' kila baada ya mapenzi. plz msaada!
muulize kama anatumia sindano za uzazi wa mpango kama ameshazaa ila kama bado aende hospitali
kwa mwanamke aliyezaa na anatumia sindano kuzuia mimba ni kawaida
 
Back
Top Bottom