Hebu imagine kama zama za YESU kungekuwa na simu..

Senator jr

JF-Expert Member
Apr 3, 2016
367
495
Yesu. Halo Yohana ile pesa itume bac kwa M.pesa naona leo mtandao uko vizuri..
Yesu..Halo petro hivi mpaka saivi hujafika kanisani unafanyeje huko.
Yesu. Baada ya ibada kama kutakuwa na mwenye swali asisahau kunipigia kwenye namba yangu 07.... Na kwa maswali na mafunzo mengine tembelea katika ukurasa wangu wa fb
Endeleeni wakuu...
 
Yesu. Halo Yohana ile pesa itume bac kwa M.pesa naona leo mtandao uko vizuri..
Yesu..Halo petro hivi mpaka saivi hujafika kanisani unafanyeje huko.
Yesu. Baada ya ibada kama kutakuwa na mwenye swali asisahau kunipigia kwenye namba yangu 07.... Na kwa maswali na mafunzo mengine tembelea katika ukurasa wangu wa fb
Endeleeni wakuu...
Kuna mtu kamwona yuda?....anapesa kishenzi.....kesha muuza yesu.
 
Acha ubwege wewee yesu alikua hakai kanisanii alafu hakuna kuimagine kwenye imani za watu mi nlitegemea useme imagine enzi za mkwawa kungekua na simu si wangekua wanawasiliana fasta kabla ya wajerumani kutia timu!.....
 
Jitaidni kuheshimu dini za watu hata kama ni jukwaa la jokes kuna mipaka yake hivi senator Jr mtu atolee mfano kungekuwa zamani mama yako analiwa ndogo ungefurahi .lete jokes zenye nidhamu na ukome kutumia hilo jina kwa mambo yenu ya kijinga mbwa ww
NAONA UNAKICHAA HEAVY..ELEWA MAANA NDO UCOMENT KAMA HUJAIPENDA KAA KIMYA KWANZA UNAJUA SHERIA ZA JF WEWE..AFU CHUNGA SANA MI NI MOD..
 
Acha ubwege wewee yesu alikua hakai kanisanii alafu hakuna kuimagine kwenye imani za watu mi nlitegemea useme imagine enzi za mkwawa kungekua na simu si wangekua wanawasiliana fasta kabla ya wajerumani kutia timu!.....
Mleta joke angekuwa mbunifu, joke yake ingefurahisha sana.Imagine Kinjeketile angekuwa na simu angezungumzaje na wasaidizi wake.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom