hebu fungukeni hapa............

Ukibadili tabia kutoka mbaya na kuwa nzuri
Usifanye kwa ajili ya watu wengine
Fanya kwa ajili yako na nafsi yako
Utakuwa na amani zaidi kuliko kutegemea watu wa nje wakuamini

Uaminifu ukivunjwa ni ngumu kurudishwa.

da Kongosho hebu rudi nyuma soma post 30 kisha unipe majibu.
samahan sana tafadhali kwa usumbufu
 
Last edited by a moderator:
Wewe Kongosho wewe! Yaani mumeo (and that is ME) unamuweka kikaango kimoja na Bishanga!!!!!! Natafuta kamba ya mgomba nijitundike, huu ni udhalilishwaji wa kijinsia. Haki ya mama vile!

pole but usijeukawa wewe ni mhehe lol! naogopa jamani
 
Hivi kwanini mtu huwa haaminiki pale anapobadilika kutoka kuwenye tabia mbaya kwenda kwenye tabia njema? je inamaana mtu akishakuwa mkosa maisha/jamii haimpi nafasi ya kubadilika tena?

Mkuu,.... inategemea na jinsi wewe mwenyewe unavyojalibu kujidhilisha mbele ya jamii husika kwamba wewe umekuwa kiumbe kipya yakale (yale Mabaya) yote yamepita.
Kumbuka Mtume Paulo(Sauli) alipotokewa na Yesu na kupewa kazi ya kuihubili habari njema ya Mungu kwa watu wale wale aliowatendea vitendo vya kidhalimu vya kuwatesa na kuwauwa watu wa Mungu, Mwanzo ilikuwa ngumu sana kumuelewa na kumkubali lakini baadaye alikubalika na kuwa Mwalimu wa Kanisa kwa kuchapa injili kuliko Mitume wote.
 
Kabla hujajinyonga, lile shamba lako la kiburugwa tukubaliane kabisa

Hilo la kwangu, kujinyongwa kwema.

Bishanga, mwanamme sing'ilendi hana hata suruali

Wewe Kongosho wewe! Yaani mumeo (and that is ME) unamuweka kikaango kimoja na Bishanga!!!!!! Natafuta kamba ya mgomba nijitundike, huu ni udhalilishwaji wa kijinsia. Haki ya mama vile!
 
Last edited by a moderator:
Ukiangalia kwenye jibu langu la msingi
Nimesema. kwanza mtu anabadilika kwa ajili ya manufaa yake mwenyewe
Pili kwa wanaomzunguka hasa wale anaowajali na wao kumjali

Mimi ningekuwa mlezi wa huyo dada ningemshauri kuendelea na msimamo wa mabadiliko yake kwani ni kwa faida yake mwenyewe. Pili akumbuke hawezi kukubalika kwa wanandugu wote, ni bahati hata wewe unamsaidia na kumvumilia na mabadiliko anayopitia.

Kwa hiyo, asikate tamaa, maana itamkatisha tamaa hata huyo mmoja aliyempa nafasi

Hao ndugu wengine awape muda, ipo siku watamkubali tena
Ila hata wakimkataa milele, wao wana maisha yao na yeye ana maisha yake
Kwa hiyo a focus na maisha yake pia, hatuishi kwa ajili ya ndugu tu

nimekuelwa sana na asante sana kwa hili manake real ninapata mafunzo kwako.

hebu je niambie katika hili, umemkuta binti wa kike ni ndugu kwenye ukoo, kwatabia zake ukoo wote umemtenga ila ukaona hapana anahitaj faraja kama binadamu. umejitahidi sana kumfanya abadilike na wewe ukimtizama kwa macho ya kibinadamu unaona kweli amebadilika na toka uanze hiyo kazi ni kama 2 yrs sasa.

sasa siku unamtuma kwa ndugu mwingine, sehem ambayo ni mbali itakayo mlazimu kulala huko, ndugu anasema simtaki kwani hata unipe nini siamin kwamba huyu mtu kabadilika kibaya zaid ndugu anampigia simu binti na kumwambia kwamba aache unafki hawez kubadilika.

binti anaumia sana na kujiona kama jamii haimpendi tena na anajiona mkosa sana asiye stahili hata kuish je wewe kama ndo mlez wake utafanyaje hapo? kumbuka kuna ugomvi unaoweza kutokea iwapo utaendeleza mjadala.

nisamehe sana kwa maneno mengi but pse sema neno hapa.
 
Back
Top Bottom