sawa lakini isiwe sawa na picha maana kudumu kwake kwaweza kuwa pawe padogo na pia wabadilike maana wengine bado wanaamini kuwa hata wasipojishughulisha watashinda Wekeni mambo hadharani kila kinachofanyika itakuwa silaha kubwa kwenu na onyesheni wapi hawataki kuchukua hatua na nini hasara inayopatikana ndo silaha nyingine maana wanalindana hata wananchi wanafahamu Aanikeni maovu yao na tafuteni ukweli juu ya kwanini madaktari waligoma na je kipi bora kuwalipa vizuri madaktari au wabunge? Angalieni pia je kweli wezi wanaofikishwa mahakamani wanashughulikiwa ipasavyo au ndo gelesha kwa wananchi? Mkifanya hivyo kweli picha hiyo itakuwa sahihi japo haitachukuwa muda mrefu kwa kutumikia wananchi maana ni mchina.
Kitendo cha kuweza kufikiria kitu kama hiki ni jambo moja zuri sana la kuweka ujumbe ktk picha na ni wengi watakaojipanga tangia sasa ili kuijenga hiyo taswira ktk uhalisia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.