Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Members,
Limekaa moyoni kwa masaa hatimae nafsi imenishinda.
Jana usiku mida ya kama saa 3 hivi nilikua nimekaa nje ya kaduka kamoja hivi, namsubiria dereva wa Bodaboda niliemzoe kukodi pikipiki yake.
Jirani ya hicho kiduka kuna ka'duka kadogodogo pia.
Nikamuona Mdada mwenye haiba ya maana inshort ana personality ya mjini.
Nikamsikia Mdada huyo akimwambia muuza duka "wa leo safi ? Sio kama ule ? "
Muuza duka akamjibu ,
"Yaani huu wa leo ni wa ukweli hasa"
Mdada tena,
"Nifungie wa buku mbili"
Mda si muda nikaona Mdada anapewa kitu na kukiweka mkobani ,
Mdada akamuuliza tena muuza duka,
"Niangazie basi boda ya mtu unaemjua muaminifu anipeleke wengine vibaka"
Muda huo na ndiyo ile boda niliokua nikiisubiri inafika.
Yule muuza duka anamwambia Mdada ,
"tena afadhali jamaa yangu niliekua namfikiria ndy huyo amefika. Kwakua mi sikua na haraka nikamruhusu yule boda wangu am'rush mdada then aje ani'pik .
Tukabaki mie namuuza duka kwa haiba ya yule Mdada na kwa udogo wa kale kaduka nikashawishika nimuulize yule Mdada ni mteja wake wa kitu gani. Muuzaduka akanijibu,
"Aisey blaza huyu Mdada ni mteja wangu mkubwa wa Mwaipaya (Ugoro) kila baada ya siku 3 ananunua wa buku mbili tena kaweka na oder kabisa"
Mie nikaskuti yule mdada mbona hafanani na uteja wa Ugoro!
Nikamuuliza
"Mbona yule Mdada wapi na wapi na Ugoro ?
Akanijibu,
"Blazaa unafikiri ni wa kula ule ? Hapana ule Ugoro wanauweka kule chini, yaani akiuweka tu anapata hamu ya mwanaume na baadae hadi anamaliza peke yake, hahitaji tena Mwanaume"
Yaani Ugoro unampa hamu, na huohuo unammalizia hamu.
Nilim'bishia yule muuza duka, lakini aliapia kwa viapo kibao!
Nikaondoka nimeamini kwa upande wa shingo. Members wenzangu nanyi hii maneno mshaifahamu ?
Kuna ukweli hapa?
Limekaa moyoni kwa masaa hatimae nafsi imenishinda.
Jana usiku mida ya kama saa 3 hivi nilikua nimekaa nje ya kaduka kamoja hivi, namsubiria dereva wa Bodaboda niliemzoe kukodi pikipiki yake.
Jirani ya hicho kiduka kuna ka'duka kadogodogo pia.
Nikamuona Mdada mwenye haiba ya maana inshort ana personality ya mjini.
Nikamsikia Mdada huyo akimwambia muuza duka "wa leo safi ? Sio kama ule ? "
Muuza duka akamjibu ,
"Yaani huu wa leo ni wa ukweli hasa"
Mdada tena,
"Nifungie wa buku mbili"
Mda si muda nikaona Mdada anapewa kitu na kukiweka mkobani ,
Mdada akamuuliza tena muuza duka,
"Niangazie basi boda ya mtu unaemjua muaminifu anipeleke wengine vibaka"
Muda huo na ndiyo ile boda niliokua nikiisubiri inafika.
Yule muuza duka anamwambia Mdada ,
"tena afadhali jamaa yangu niliekua namfikiria ndy huyo amefika. Kwakua mi sikua na haraka nikamruhusu yule boda wangu am'rush mdada then aje ani'pik .
Tukabaki mie namuuza duka kwa haiba ya yule Mdada na kwa udogo wa kale kaduka nikashawishika nimuulize yule Mdada ni mteja wake wa kitu gani. Muuzaduka akanijibu,
"Aisey blaza huyu Mdada ni mteja wangu mkubwa wa Mwaipaya (Ugoro) kila baada ya siku 3 ananunua wa buku mbili tena kaweka na oder kabisa"
Mie nikaskuti yule mdada mbona hafanani na uteja wa Ugoro!
Nikamuuliza
"Mbona yule Mdada wapi na wapi na Ugoro ?
Akanijibu,
"Blazaa unafikiri ni wa kula ule ? Hapana ule Ugoro wanauweka kule chini, yaani akiuweka tu anapata hamu ya mwanaume na baadae hadi anamaliza peke yake, hahitaji tena Mwanaume"
Yaani Ugoro unampa hamu, na huohuo unammalizia hamu.
Nilim'bishia yule muuza duka, lakini aliapia kwa viapo kibao!
Nikaondoka nimeamini kwa upande wa shingo. Members wenzangu nanyi hii maneno mshaifahamu ?
Kuna ukweli hapa?