Hebu Bofya uyaone haya mapyaaa !

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Members,
Limekaa moyoni kwa masaa hatimae nafsi imenishinda.
Jana usiku mida ya kama saa 3 hivi nilikua nimekaa nje ya kaduka kamoja hivi, namsubiria dereva wa Bodaboda niliemzoe kukodi pikipiki yake.
Jirani ya hicho kiduka kuna ka'duka kadogodogo pia.
Nikamuona Mdada mwenye haiba ya maana inshort ana personality ya mjini.
Nikamsikia Mdada huyo akimwambia muuza duka "wa leo safi ? Sio kama ule ? "
Muuza duka akamjibu ,
"Yaani huu wa leo ni wa ukweli hasa"
Mdada tena,
"Nifungie wa buku mbili"
Mda si muda nikaona Mdada anapewa kitu na kukiweka mkobani ,
Mdada akamuuliza tena muuza duka,
"Niangazie basi boda ya mtu unaemjua muaminifu anipeleke wengine vibaka"
Muda huo na ndiyo ile boda niliokua nikiisubiri inafika.
Yule muuza duka anamwambia Mdada ,
"tena afadhali jamaa yangu niliekua namfikiria ndy huyo amefika. Kwakua mi sikua na haraka nikamruhusu yule boda wangu am'rush mdada then aje ani'pik .
Tukabaki mie namuuza duka kwa haiba ya yule Mdada na kwa udogo wa kale kaduka nikashawishika nimuulize yule Mdada ni mteja wake wa kitu gani. Muuzaduka akanijibu,
"Aisey blaza huyu Mdada ni mteja wangu mkubwa wa Mwaipaya (Ugoro) kila baada ya siku 3 ananunua wa buku mbili tena kaweka na oder kabisa"
Mie nikaskuti yule mdada mbona hafanani na uteja wa Ugoro!
Nikamuuliza
"Mbona yule Mdada wapi na wapi na Ugoro ?
Akanijibu,
"Blazaa unafikiri ni wa kula ule ? Hapana ule Ugoro wanauweka kule chini, yaani akiuweka tu anapata hamu ya mwanaume na baadae hadi anamaliza peke yake, hahitaji tena Mwanaume"
Yaani Ugoro unampa hamu, na huohuo unammalizia hamu.
Nilim'bishia yule muuza duka, lakini aliapia kwa viapo kibao!
Nikaondoka nimeamini kwa upande wa shingo. Members wenzangu nanyi hii maneno mshaifahamu ?
Kuna ukweli hapa?
 
Kama huja-cook story..hiii inatisha..ama wanaume tunaogopwa? Au tumekuwa wengi kwa hiyo competation imekuwa kubwa!
 
Members,
Limekaa moyoni kwa masaa hatimae nafsi imenishinda.
Jana usiku mida ya kama saa 3 hivi nilikua nimekaa nje ya kaduka kamoja hivi, namsubiria dereva wa Bodaboda niliemzoe kukodi pikipiki yake.
Jirani ya hicho kiduka kuna ka'duka kadogodogo pia.
Nikamuona Mdada mwenye haiba ya maana inshort ana personality ya mjini.
Nikamsikia Mdada huyo akimwambia muuza duka "wa leo safi ? Sio kama ule ? "
Muuza duka akamjibu ,
"Yaani huu wa leo ni wa ukweli hasa"
Mdada tena,
"Nifungie wa buku mbili"
Mda si muda nikaona Mdada anapewa kitu na kukiweka mkobani ,
Mdada akamuuliza tena muuza duka,
"Niangazie basi boda ya mtu unaemjua muaminifu anipeleke wengine vibaka"
Muda huo na ndiyo ile boda niliokua nikiisubiri inafika.
Yule muuza duka anamwambia Mdada ,
"tena afadhali jamaa yangu niliekua namfikiria ndy huyo amefika. Kwakua mi sikua na haraka nikamruhusu yule boda wangu am'rush mdada then aje ani'pik .
Tukabaki mie namuuza duka kwa haiba ya yule Mdada na kwa udogo wa kale kaduka nikashawishika nimuulize yule Mdada ni mteja wake wa kitu gani. Muuzaduka akanijibu,
"Aisey blaza huyu Mdada ni mteja wangu mkubwa wa Mwaipaya (Ugoro) kila baada ya siku 3 ananunua wa buku mbili tena kaweka na oder kabisa"
Mie nikaskuti yule mdada mbona hafanani na uteja wa Ugoro!
Nikamuuliza
"Mbona yule Mdada wapi na wapi na Ugoro ?
Akanijibu,
"Blazaa unafikiri ni wa kula ule ? Hapana ule Ugoro wanauweka kule chini, yaani akiuweka tu anapata hamu ya mwanaume na baadae hadi anamaliza peke yake, hahitaji tena Mwanaume"
Yaani Ugoro unampa hamu, na huohuo unammalizia hamu.
Nilim'bishia yule muuza duka, lakini aliapia kwa viapo kibao!
Nikaondoka nimeamini kwa upande wa shingo. Members wenzangu nanyi hii maneno mshaifahamu ?
Kuna ukweli hapa?

Du hii mpya na kali kuliko
 
Bora nyeto za wanaume, sasa hiyo style kwa wanawake ni hatari. Hivi ugoro si unaweza kuleta kansa?

Sipati picha, ingekuwa enzi za 'kuberi' si wangekuwa wananunua vipakti? Shida gani hizo wakati wanaume wapo? Tobaaaa.
 
Kama huja-cook story..hiii inatisha..ama wanaume tunaogopwa? Au tumekuwa wengi kwa hiyo competation imekuwa kubwa!

Mh. Platozoo,
nikwambiayo hakuna nilichokipika , nipike inisaidie nini mtu-mzima mie? Labda cha nyongeza niliambiwa na yule muuza duka, kwamba hiyo inawasaidia wanaosex kwa Ugoro kujiepusha na balaa la virusi .
 
Mhmm!! Hii kali mkuu. Mie kuna moja nilikutana nayo siku mmoja wakati nilipoenda kumtengenezea computer mdada mmoja mwenye asili ya kipemba. Kama unavyojua wanawake wenye asili ya kipemba huwa hawafanyi kazi, kazi ya ni kukaa tu na kupiga domo na mashoga zake. Sasa wakati mimi naendelea na shughuli yangu ya kuikarabati computer yake ghafla nilisikia dada huyo akianza kuongelea maswala ya mirungi ambao wenyewe wanaliita gomba.
Kwa haraka haraka nilihisi kama vile nimesikia vibaya hivyo nikaamua kutega masikio kwa makini ili nithibitishe nilichokisikia ndipo nikasikia wakianza kuzungumzia aina mbali mbali za mirungi sijui eti kuna mirungi yenye unga, sijui eti kuna yenye maji n.k. Na baada ya muda akapiga simu na kuweka order ya mirungi ya sh. 30,000/= Nilishangaa sana kusikia maneno hayo kwa sababu sikuwahi kusikia wala kuona mwanamke akitumia mirungi. Swali nililobaki nalo, ni kwa nini wanawake wanatumia mirungi?? haswa wa uswahilini? na ina faida gani kwao???
 
duh!najaribu kupata picha!
ugoro ukiingia puani utapiga chafya mpaka kamasi litoke...
sa najaribu kwenye kipochi manyoya inakuaje??
hebu nisiumize kichwa aise...
ntarudi kusoma nikiona fulani kachangia...
 
Mhmm!! Hii kali mkuu. Mie kuna moja nilikutana nayo siku mmoja wakati nilipoenda kumtengenezea computer mdada mmoja mwenye asili ya kipemba. Kama unavyojua wanawake wenye asili ya kipemba huwa hawafanyi kazi, kazi ya ni kukaa tu na kupiga domo na mashoga zake. Sasa wakati mimi naendelea na shughuli yangu ya kuikarabati computer yake ghafla nilisikia dada huyo akianza kuongelea maswala ya mirungi ambao wenyewe wanaliita gomba.
Kwa haraka haraka nilihisi kama vile nimesikia vibaya hivyo nikaamua kutega masikio kwa makini ili nithibitishe nilichokisikia ndipo nikasikia wakianza kuzungumzia aina mbali mbali za mirungi sijui eti kuna mirungi yenye unga, sijui eti kuna yenye maji n.k. Na baada ya muda akapiga simu na kuweka order ya mirungi ya sh. 30,000/= Nilishangaa sana kusikia maneno hayo kwa sababu sikuwahi kusikia wala kuona mwanamke akitumia mirungi. Swali nililobaki nalo, ni kwa nini wanawake wanatumia mirungi?? haswa wa uswahilini? na ina faida gani kwao???

Kwa Agenda hii tukipata member wa Kenya au aliekaa huko kwa kitambo atatusaidia.
 
Ugoro ni Tobacco na Tanin. Katika matenezo yake wanatumia magadi.

Sasa zaidi ya kumwasha sana na hatimae kui anaesthetise vulva na vaginal canal najaribu kutafuta scientific explanation. Let me think......... Mbolea wanayo tumia wakulima ni jamii ya nitrates na phosphate.

Nadhani ni kweli. Athar inapatikana sababu ugoro pia ni rich in nitrates. Yaweza kumtohoa mwanamke na asiwe na hamu ya midume sababu ya thickning ya epithilial lining ya vulva na vaginal canal. Lakini madada msijaribu. Lazima mwanzoni itakuwa inawasha na kuunguza sana ingawaje ukizoea utapata utamu.
 
Ugoro ni Tobacco na Tanin. Katika matenezo yake wanatumia magadi.

Sasa zaidi ya kumwasha sana na hatimae kui anaesthetise vulva na vaginal canal najaribu kutafuta scientific explanation. Let me think......... Mbolea wanayo tumia wakulima ni jamii ya nitrates na phosphate.

Nadhani ni kweli. Athar inapatikana sababu ugoro pia ni rich in nitrates. Yaweza kumtohoa mwanamke na asiwe na hamu ya midume sababu ya thickning ya epithilial lining ya vulva na vaginal canal. Lakini madada msijaribu. Lazima mwanzoni itakuwa inawasha na kuunguza sana ingawaje ukizoea utapata utamu.

Doctors,
asante kwa uhabarisho wa deeply hii ndy Jamii Forum ! JF ZAIDI YA UIJUAVYO.
 
Mhmm!! Hii kali mkuu. Mie kuna moja nilikutana nayo siku mmoja wakati nilipoenda kumtengenezea computer mdada mmoja mwenye asili ya kipemba. Kama unavyojua wanawake wenye asili ya kipemba huwa hawafanyi kazi, kazi ya ni kukaa tu na kupiga domo na mashoga zake. Sasa wakati mimi naendelea na shughuli yangu ya kuikarabati computer yake ghafla nilisikia dada huyo akianza kuongelea maswala ya mirungi ambao wenyewe wanaliita gomba.
Kwa haraka haraka nilihisi kama vile nimesikia vibaya hivyo nikaamua kutega masikio kwa makini ili nithibitishe nilichokisikia ndipo nikasikia wakianza kuzungumzia aina mbali mbali za mirungi sijui eti kuna mirungi yenye unga, sijui eti kuna yenye maji n.k. Na baada ya muda akapiga simu na kuweka order ya mirungi ya sh. 30,000/= Nilishangaa sana kusikia maneno hayo kwa sababu sikuwahi kusikia wala kuona mwanamke akitumia mirungi. Swali nililobaki nalo, ni kwa nini wanawake wanatumia mirungi?? haswa wa uswahilini? na ina faida gani kwao???



Huenda inawapa stimu ya ngono kama ilivyo kwa me. Inawezekana ukiingia nae gem ukaomba poo!
 
Back
Top Bottom