Heavy menyuuuu na mafruitiiii

upele

JF-Expert Member
Mar 3, 2010
364
31
kwa walaji wanaozingatia afya zao

IMG0563A.jpg IMG0561A.jpg
 
Duh, hiyo menu haina formula kabisa. Unajua ukila wali nyama ukaongezea na ndizi mbivu just after kula jumlishia na zambarau hapa sipati picha..
 
woga wako tuu haya we penda ma chilli na tomatos pia acha vitu vya supermakert
 
Afya bwana! Mwili haujengwi kwa tofari! Wabongo hawapendi afya zao unakuta mtu anakula ugali anashushia gongo
 
Back
Top Bottom