AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Sidhani kama anaongelea yale mapungufu yanayoeleweka kama kusahau kupiga mswaki au kuchelewa nyumbani mara moja moja.Fikiria mtu asiyemwaminifu au anaekupiga kila anapojisikia...unamuEXCUSE kwa sababu na kwa kutumia vigezo vipi bila kujidharaulisha/kujipendekeza/kujidhaifisha usipotakiwa kufanya hivyo???Hapo ndo unasikia watu wanalia wanaonewa wanaonewa kumbe wanajionea wenyewe!!
LOL....Sorry the above in red imenifurahisha kweli.
Yote uloongea nakubali 100%. But enways matatizo watupayo akina baba ni mengi hivyo naomba nitolee mfano wangu - Kuna ndoa ambazo mwanume (hata mwanamke) ana majukumu makubwa kikazi mpaka kusababishia mda wake kua finyu saana. Ndio kweli anampenda mwenza wake na ni mwaminifu but 24/7 yuko busy wala una raha nae. Katika hili mwingine ataacha kumtolea excuses na kamua kutengana nae whereas mwingine atatafuta solution kama vile walau maybe wapate lunch mara 2/3 kwa week maeneo ya kazi n.k
Huo mfano above unaweza onekana si tatizo saana but kwa wanandoa walo affected wanaelewa consequences. Kurudi katika mfano wako naamini Oprah mtazamo wake kuhusu mwanamama kupigwa na mmeo ni mkali kuliko hata wewe Lizzy; umetumia msemo kua anaekupiga kila anapojisikia which means in one way unakubali kua mwenza anaweza aka ana kupiga mara moja moja na uka make excuses ila si anapojisikia....