Health - Very Very Important Tips

Umegusia mambo ya headphone ,earphone na kupokea simu when the battery is low .blue tooth wengine hutumia kama accesories kwenye cell phone zao .nadhani hili ndilo swali lake
Sawa kabisa mkuu lakini maelezo yangu hayahusiani na blöuetooth M kuu ( When battery is down to the LASTgrid/bar, do not answer the phone as the radiation is 1000 times.)
 
asante Mzizi lakini hii kwa hulka ya mwanadamu ni ngumu kufuatilia baadhi ya vipengele. kama hiki "When battery is down to the LASTgrid/bar, do not answer the phone as the radiation is 1000 times." sasa kama mpenzi ananipigia simu nisipokee si nitakuwa nanunua ugomvi:biggrin::biggrin::biggrin::tongue:
Ni kweli kabisa sasa utafanyaje? Jaribu kukopi haya maelezo yangu kisha umpeleke huyo mpenzi wako naye asome ajue umuhimu wake hayo maelezo yangu ni muhimu kwa kila afaya ya Mtu asante.
 
mzizimakavu nashukuru sana kwa hizi tips. Binafsi huwa naprefer zaid matrix model when it comes to health issues according to the model " do not give people alternatives" na ukiangalia utakuta sehem nyingi sana watu huwa wanpewa alternatives na matokeo yake ni hya tunayoyaona. kama umeambiwa usinywe dawa na maji ya baridi ibakie kuwa hivyo wala usimwambie unywe na juis au nini. hii itasaidia zaid katika kuboresha afya. TIZAMA SWALA LA UKIMWI jinsi alternatives zinavyoongezeka ndvyo matatizo yaknazidi kukua. ukisema watu tumien condom au sijui uwe na mpenzi mmoja haisaidii ishu waambie causes and the solution tu ambayo ni kuabstain basi.
 
Last edited by a moderator:
mzizimakavu nashukuru sana kwa hizi tips. Binafsi huwa naprefer zaid matrix model when it comes to health issues according to the model " do not give people alternatives" na ukiangalia utakuta sehem nyingi sana watu huwa wanpewa alternatives na matokeo yake ni hya tunayoyaona. kama umeambiwa usinywe dawa na maji ya baridi ibakie kuwa hivyo wala usimwambie unywe na juis au nini. hii itasaidia zaid katika kuboresha afya. TIZAMA SWALA LA UKIMWI jinsi alternatives zinavyoongezeka ndvyo matatizo yaknazidi kukua. ukisema watu tumien condom au sijui uwe na mpenzi mmoja haisaidii ishu waambie causes and the solution tu ambayo ni kuabstain basi.
@gfsonwin nimekuelewa lakini Prevention is Better Than Cure
 
@gfsonwin nimekuelewa lakini Prevention is Better Than Cure

Nakubaliana na wewe lakin this theory does not apply to every communicable disease. Manake hasa wenye ishu ya ukimwi imeonekana kuchochea zaid ya kupunguza manake umpapo mtu condom inamaana unamtuma akazini kwanini basi usimwambie ukimwi hauna dawa so dawa ni kuacha kufanya zinaa?
 
Nakubaliana na wewe lakin this theory does not apply to every communicable disease. Manake hasa wenye ishu ya ukimwi imeonekana kuchochea zaid ya kupunguza manake umpapo mtu condom inamaana unamtuma akazini kwanini basi usimwambie ukimwi hauna dawa so dawa ni kuacha kufanya zinaa?
@gfsonwin ni kweli badala ya kutibu au kukinga unazidisha ukimwambia mgonjwa wa ukimwi atumie Condom.
 
nilishawahi kusoma article fulani, kwamba tutumie sikio la kushoto tunapopiga au kupokea simu, au tutumie earphone. je hata hizi earphones tuwe tunatumia speaker ya kulia tu? ufafanuzi zaidi mkuu. asnte
 
nilishawahi kusoma article fulani, kwamba tutumie sikio la kushoto tunapopiga au kupokea simu, au tutumie earphone. je hata hizi earphones tuwe tunatumia speaker ya kulia tu? ufafanuzi zaidi mkuu. asnte
@sixlove kuhusu Speaker za earphones unaweza kutumia masikio yote mawili lakini sio muda mrefu kusikiliza radio au music itabidi upumzishe masikio yako kila kitu ukizidisha kina madhara yake. hata Chakula ukizidisha kuna madhara ya kuvimbirwa na kushindwa kupumuwa vizuri tumia lakini sio muda mrefu sana.
 
Nashukuru mtoa mada,ntayafanyia kazi! Ila hlo la kupokea simu kwa sikio la kushoto,sababu ni nini?
@Msafiri Kasian When you try to call through mobile phone, do not put your mobile closer to your ears until the recipient answers.The reason is directly after dialing, the mobile phone would use it's maximum signaling power, which is:2watts = 33dbi!!!! . So Please be careful.Please use LEFT EAR while using cell phone [mobile] and save your brain,because if you use the RIGHT EAR it will affect brain directly.
THis is a hoax. Please check out site
http://www.hoax-slayer.com/use-left-ear-mobile.html

A warning from the FRNS

ALWAYS USE LEFT EAR FOR MOBILE PHONES

Please use left ear while using cell (mobile), because if you use the right one it will affect brain directly. This is a true fact from Apollo medical team. Please forward to all your well wishers

use-left-ear-mobile.jpg





Commentary:
I first began receiving submissions about this factually dubious "health warning" message in late 2005. The warning, which travels via email, blogs and online forum posts, claims that mobile phone users should only use the left ear for making calls, supposedly to lessen the effects of exposure to cell phone radiation. The message attempts to convince readers that using the right ear for mobile calls can directly damage the brain and it is therefore wiser to favour the left ear. Like other such warnings, the message does not include any external references to support its claims.

Not surprisingly, I have found no evidence to confirm the claims outlined in the message. The message includes a diagrammatical image apparently intended to add a degree of credibility to the information. Ironically however, the diagram has no direct relevance to the spurious claim that using the left ear is preferable to using the right. Although the subject matter of this infographic does relate to possible dangers from mobile phone radiation, a closer examination reveals that it makes no reference at all to using the left ear in preference to the right.

A small amount of web research based on the source information included on the graphic revealed that it was first published in June 2002 by the Graphics News website. The diagram simply summarizes in graphical form the findings of a study (see reference list for for pdf link) by scientists at Finland's Radiation and Nuclear Safety Authority. A 2002 BBC news report offers more information about this study. The report notes that:
Scientists from the Radiation and Nuclear Safety Authority found that exposing human cells to mobile phone radiation damaged the blood-brain barrier - a safety barrier in the body that stops harmful substances in blood from entering the brain.
However, the report makes clear that the tests were carried out on human cells under precise laboratory conditions and at the time the report was published it was not known if the findings actually equated to genuine health concerns for phone users. Moreover, neither the Radiation and Nuclear Safety Authority study nor the BBC report mention anything about which ear, if any, is the safest to use.

Almost since the invention of the devices, there has been a long running debate about the possible health effects of mobile phone use. A number of reports have raised authentic concerns about possible health risks from mobile phone radiation. However, no credible information that I have seen mentions any correlation between increased health risks and the habitual use of the right ear for mobile calls.

The message claims that the information is "a true fact from Apollo medical team" (as opposed, apparently, to a "false fact"
smile3.gif
). However, I could find no information about an "Apollo medical team" other than references to the hoax message itself. If the information in the message had any validity, then the group that conducted the research would undoubtedly have published its findings via credible media such as scientific journals and medical websites. Thus, if the "Apollo medical team" was a real entity that actually did conduct a study about mobile phone radiation, then research should reveal at least some information about the team and its work. I suspect that the "Apollo medical team" reference was added to falsely imply some measure of endorsement from the Apollo Hospitals Group in India.

This message possibly originated as some foolish individual's idea of a prank. Or, as with many other hoaxes, it may have been a deliberate attempt to spread misinformation and unnecessarily raise fear and alarm. Whatever the reason, it seems obvious that the perpetrator has used a blatant falsehood as the core claim in the message and then made a rather lame attempt to back it up by tacking on unrelated information stolen from another source.

Thus, forwarding this misleading "warning" message will serve no useful purpose. While there are real concerns about possible health risks related to mobile phone use, there is no evidence to suggest that using the left ear will in any way decrease such risks.
 
Answer the phone by LEFTear.
Do not drink coffee
TWICEa day.
Do not take pills with
COOLwater.
Do not have
HUGEmeals after 5pm.
Reduce the amount of
OILYfood you consume.
Drink more
WATERin the morning, less at night.
Keep your distance from hand phone
CHARGERS.
Do not use headphones/earphone for
LONGperiod of time.
Best sleeping time is from
10pmat night to 6amin the morning.
Do not lie down immediately after taking
medicinebefore sleeping.
When battery is down to the
LASTgrid/bar, do not answer the phone as the radiation is 1000 times.

Follow this if you
CARE about yourself!

Ngoja nianze kuzifata hizi tips moja baada ya moja nine matokeo
 
Back
Top Bottom