Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamaa alkuwa ndani ya daladala, tumbo likaanza kumsumbua coz ya gesi.Jamaa akaona bora ajambe kwa kufuata biti la mziki. Jamaa kweli kajamba kufuata biti na tumbo lka2lia.Alipokuwa akishuka akashangaa kuona wa2 wanamshangaa kchizi, jamaa ndio akakumbuka kuwa ameva headphones ,mziki alikuwa akisikia mwenyewe.