headphones zamwumbua jamaa

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Jamaa alkuwa ndani ya daladala, tumbo likaanza kumsumbua coz ya gesi.Jamaa akaona bora ajambe kwa kufuata biti la mziki. Jamaa kweli kajamba kufuata biti na tumbo lka2lia.Alipokuwa akishuka akashangaa kuona wa2 wanamshangaa kchizi, jamaa ndio akakumbuka kuwa ameva headphones ,mziki alikuwa akisikia mwenyewe.
 
Alifanya makusudi na ndo maana alishuka faster, machizi wa hivyo wapo wengi2.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom