Headache au maumivu ya kichwa

Mkuu pole sana kwa maumivu hayo.

Ushauri wangu ni kwamba nenda kamwone daktari mara moja na omba ufanyiwe scan ya kichwa bila kuchelewa.
Hivi niandikapo kuna jamaa yangu amefariki dunia tarehe 4.07.2008 Reading - UK (Alex Masamba) tokana na tatizo kama hilo na sasa tuko mbioni kupeleka mwili Tanzania kwa mazishi.
Alianza kuumwa kichwa (mbele kulia) kwa muda wa wiki mbili zilizopita. Alikwenda kumwona doctor (GP) na kupewa pain killer ambazo zilikuwa zinatuliza maumivu kwa muda mfupi na hali inarudia tena. Tarehe 3.07.2008 usiku hali ilikuwa mbaya sana na tokana na maumivu hayo akapoteza fahamu.

Kupelekwa Hospital wakasema ni too late mshipa wa damu umepasuka na damu imetapakaa karibu sehemu kubwa ya ubongo na hivyo hakuna lolote litakaloweza kufanyika.

Kwa kuandika hivi sina maana kwamba yanaweza kukufika hayo, bali ni katika kukushauri ukimbilie hospital mara moja kwani hatujui nini kinakusumbua.
 
Kidatu,

Umenishtua hadi nikasikia maumivu ghafla. Hii ni hatari. Ila nimejifunza mengi tokana na maoni ya watu hapa. Nimepata funzo kubwa na nitawapa feedback baada ya kupewa majibu na labda tiba ya tatizo langu.

Natambua ugonjwa huu unatuendesha wengi na wengi wangependa kupata suluhu ya tatizo hili.

Nawashukuru wote mliotoa maoni mbalimbali kwani ni funzo kwa wengi na si mimi peke yangu.

Mungu awajaalie moyo huu wa kuendelea kushirikiana kwa shida na raha!
 
Hivi lakini ulishapima macho?
macho si lazima ushindwe kuona, ila mishipa inachoka na kichwa kinauma sana.
pls pia fanya ct scan mara moja
 
Hivi lakini ulishapima macho?
macho si lazima ushindwe kuona, ila mishipa inachoka na kichwa kinauma sana.
pls pia fanya ct scan mara moja
Ahsante Haika (ila nasikia na haika manake ahsante),

Mara ya mwisho kupima macho ilikuwa mwaka 1998 nikiwa Mwanza. I will do so. Ahsante kwa ushauri na mapendekezo pia!
 
Pole Invis

nilikuwa sijaiona hii. Naona umeshapata ushauri wa kutosha. Pima pia sukari (blood sugar). Pole sana.
 
Damu...! Hilo ni sahihi. Damu najua ninayo nyingi. Hata kutoa huwa naogopa kwani wanadai ukianza kutoa hukomi!

Usiogope kutoa damu, it is not true kwamba ukitoa then you will be doing it continuously...i have done it two times kwa vipindi tofauti, well could be being a woman its not a problem but kila mtu man/woman wanakiwango that you are supposed to have so ikizidi ndio inaleta headache and all, kupunguza one liter sidhani kama itakudhuru...make a donation!!!
 
Hey, i know it might come as a shock kuuliza kitu kama hiki, but i'm a liberal minded person and i see no shame in asking a question that intrigues me. (i just wish i was allowed to put down an eye catching thread title - even more shocking than above. you know i can do worse than that ..:))

Okay, question at hand arises from personal experience. Ni kwamba; mimi kama binadamu wengine wengi husumbuliwa na kichwa. Maumivu yapo ya aina mbalimbali. Lakini kama mnavyojua tena, maumivu ya kichwa ni maumivu tu... saa nyingine wala hufikirii mara mbili kabla ya kumeza panadol/paracetamol zako, na kwa wengine ma- neurofen na mavidonge mengine makali makali.

Basi kuna nyakati kwa kujali kutotumia sana dawa za kupunguza maumivu huwa naenda kujilazimisha msalani kujisitiri kwa haja kubwa. Hii hunipatia ahueni ya maumivu ya kichwa baada ya muda mfipi tu.

Nimekuwa nikilifikiria na kutaka kujua uhusiano wa maumivu ya kichwa na kubanwa haja kubwa, siuoni na nashindwa kugundua, ila kujilazimisha kwenda haja kubwa kama remedy ndiyo kitu ninachokistukia. Maana pale inapotokea kuwa naumwa kichwa, si lazima kuwa nakuwa najisikia kwenda haja kubwa. Ila sometimes pale ninapoona kuwa sihitaji kutumia painkillers, basi hufikiria hii "alternative remedy."

Sasa wanaJF, je kuna mwingine yeyote ana experience hii?

Pia kama kuna wataalam wa maswala ya vichwa au yeyote mwenye uwezo wa kunielewesha kuhusiana na mahusiano ya viungo na mengineyo, yanayonipelekea mimi kutaka kujua hii remedy kiundani - Naombeni nasaha zenu. Shukrani.
 
Sijawahi kupata uzoefu huo kama mimi,ila kuna mtu aliniambia kuwa ukichelewa kupata choo kwa wakati wake utaumwa kichwa. maneno hayo yapo.Nakushukuru kwa kuleta hapa ili mimi na wewe na wengine tupate ukweli.
 
I have tried some searching since I read this thread but I could ony find the below ways to treat a headache.Actually I went out of my way to consult with my Doctor about these but he seemed a lil bit astonished.Anyways I will try your so called 'treatment to a headache'and see if it works.
Cheers lol if its a genuine discovery and only if it works.


• Supplements and herbal products have been shown to be effective in preventing migraines.In particular, magnesium supplements, riboflavin and the herb feverfew (Tanacetum parthenium) may be worth trying if you suffer from migraines.


• Biofeedback and relaxation therapy have been shown to help relieve tension headaches. Biofeedback is a method of learning to regulate biological processes such as heartbeat, blood flow, and blood pressure. Relaxation therapy takes many forms, including meditation, visualization, and breathing exercises, which are most productive if practiced daily.


• Chiropractic manipulation has been shown to alleviate tension headaches caused by muscle strain brought on by poor posture. Some studies have shown spinal manipulation to result in better long-term benefits and fewer side effects than drug therapy. If your job requires you to sit for long periods, work at a computer, or perform repetitive motions, chiropractic may help reduce the incidence of headaches.


• Hypnosis has been shown to work as a treatment for chronic pain, but its success depends to a large extent on an individual's responsiveness to hypnotic suggestion. Hypnosis is similar to relaxation therapy, but it also allows a therapist to access subconscious parts of the mind, which may reveal emotional traumas or underlying psychological causes of stress.


• Acupuncture may help to reduce pain and frequency of headaches. It is believed that the thin needles used in treatment may stimulate the nervous system to release endorphins or other chemicals and hormones that affect mood and pain perception. Studies suggest that acupuncture is most effective in tension-type headaches and migraines.
The following remedies are supported by anecdotal information, but have not been studied in clinical trials.


• Massage therapy can relax the headache-induced pain in muscles in the head, neck, face, and shoulders.


• Homeopathic remedies are available over-the-counter to treat specific types of headaches, but are best prescribed by a homeopathic practitioner, since ideally each remedy is tailored to an individual's unique characteristics. There is no danger in trying a remedy for an acute headache, however, and homeopathy books are helpful in describing specific headache symptoms for each remedy.


• Aromatherapy oils that may help relax muscles and ease headache pain include lavender, eucalyptus, wintergreen, peppermint, and rosemary. Aromatherapy oils can be applied through massages, baths, and vaporization.
 
Steve D,

Are u' serious??? That's very strange experience my brother but truly u' need assistance. am not medical expert anyway, lakini kwa ufahamu wangu mdogo sioni connection ya maumivu yako ya kichwa na haja kubwa. ingawa hujaeleza hayo maumivu yako ya kichwa husababishwa na nini hasa kwako? Hata hivyo, huenda ni reaction ya mwili kuji-regulate hasa pale unapo-tune mind yako kuwa unataka kwenda haja kubwa and to me i consider it more psychological kwani huenda umefanya ubongo/akili yako ikubali kuwa kwenda haja kubwa kutakupunguzia maumivu ya kichwa.

Hii inanikumbusha kitu kimoja nina rafiki yangu mmoja ambaye nalazimika kuamini kuwa naye aliufanya ubongo/akili yake ikubali hivyo. Yeye endapo alikuwa anataka kwenda haja kubwa basi ilikuwa si lazima kuwa mpaka asubiri ajisikie kwenda haja bali anapovuta sigara na hasa Sportsman basi hata kama alitoka chooni dakika 10 zilizopita atarudi tena chooni.

Na kwa maelezo yake ni kuwa hiyo hali amekuwa nayo kwa muda mrefu kwani asipovuta hiyo sigara anaweza kukaa hata siku 4 bila kwenda haja kubwa na anakula kama kawaida milo yote mitatu (B/Fast, Lunch & Dinner)...
 
huwa naenda kujilazimisha msalani kujisitiri kwa haja kubwa. Hii hunipatia ahueni ya maumivu ya kichwa baada ya muda mfipi tu.
Kwanza ulijuaje kama ukienda kukata gogo maumivu yanapungua?
 
Kwanza ulijuaje kama ukienda kukata gogo maumivu yanapungua?

Kwikwikwiiiiiiiiiiiiii! Umenikumbusha mbali sana matumizi ya neno gogo .I didnt know its still in use.
Cheers.
 
Kwanza ulijuaje kama ukienda kukata gogo maumivu yanapungua?

Yo Yo, sikufichi na sipendi kuficha kitu ambacho nimeamua kukiweka wazi. Kujua huko kulitokea by chance. Kuna siku moja nipo na rafiki yangu baada ya kunijulia hali nikajikuta natamka kwa mshirika huyo kuwa naumwa kichwa. The guy kwa kweli is one of them people that you can consider weird, not in a bad way... but the things he does sometimes, hata vyangu huonekana 'mtoto'... lol

Anyway, so baada ya kumwambia kuwa naumwa kichwa, jamaa si kaniambia niende chooni kujisaidia... hata kama sijisikii, nijilazimishe tu.. Haswaa, ndipo hapo Yo Yo nilipoanza kufanyia practice hii phenomenon!! Surprisingly, it works!! You go and try for yaself.... you never know..

Ila miye hapa ndiyo nataka nijui scientific evidence na explanation ya hili jambo.
 
Steve D,

Are u' serious??? That's very strange experience my brother but truly u' need assistance. am not medical expert anyway, lakini kwa ufahamu wangu mdogo sioni connection ya maumivu yako ya kichwa na haja kubwa. ingawa hujaeleza hayo maumivu yako ya kichwa husababishwa na nini hasa kwako? Hata hivyo, huenda ni reaction ya mwili kuji-regulate hasa pale unapo-tune mind yako kuwa unataka kwenda haja kubwa and to me i consider it more psychological kwani huenda umefanya ubongo/akili yako ikubali kuwa kwenda haja kubwa kutakupunguzia maumivu ya kichwa.

Hii inanikumbusha kitu kimoja nina rafiki yangu mmoja ambaye nalazimika kuamini kuwa naye aliufanya ubongo/akili yake ikubali hivyo. Yeye endapo alikuwa anataka kwenda haja kubwa basi ilikuwa si lazima kuwa mpaka asubiri ajisikie kwenda haja bali anapovuta sigara na hasa Sportsman basi hata kama alitoka chooni dakika 10 zilizopita atarudi tena chooni.

Na kwa maelezo yake ni kuwa hiyo hali amekuwa nayo kwa muda mrefu kwani asipovuta hiyo sigara anaweza kukaa hata siku 4 bila kwenda haja kubwa na anakula kama kawaida milo yote mitatu (B/Fast, Lunch & Dinner)...

kipanga, mambo ya kisaikolojia saikolojia kama tatizo au suluhisho (na katika swala hili - remedy) nimeyazingatia na ninayafahamu kabla ya kuandika. Katika swala hili miye naona kuna kitu more physical at play than the case of psychological remediation tu.
 
Sijawahi kupata uzoefu huo kama mimi,ila kuna mtu aliniambia kuwa ukichelewa kupata choo kwa wakati wake utaumwa kichwa. maneno hayo yapo.Nakushukuru kwa kuleta hapa ili mimi na wewe na wengine tupate ukweli.

Malila, yawezekana kabisa tupo wengi mkuu, ndiyo maana kama msukumo wa kulijua swala hili kiundani nimeomba watu wajitokeze hapa jamvini.
 
Duh..SteaveD hii ni kali na ni mpya..thanks bro kwa ku share na sisi hili..embu ngoja namimi nifanye ka experiment nikiumwa na kichwa niende kukata gogo niangalie kama itasaidia...nitakujulisha docta wangu..
 
Steve,

Headache ni sign kwamba kuna kitu kinakusumbua mwilini mwako....au sivyo?...sasa pengine labda kichwa kinapokuuma, kinakupa ishara kwamba unatakiwa ukamsalimie "bibi" .....Na ukishaenda, kazi ya headache inakuwa imekwisha, kwa hiyo kinapoa......Au?
 
Steve,

Headache ni sign kwamba kuna kitu kinakusumbua mwilini mwako....au sivyo?...sasa pengine labda kichwa kinapokuuma, kinakupa ishara kwamba unatakiwa ukamsalimie "bibi" .....Na ukishaenda, kazi ya headache inakuwa imekwisha, kwa hiyo kinapoa......Au?

QM sijui, ila kwa kweli kama naumwa kichwa na kutumia njia hii ya kutaka gogo kama alternative remedy, mara nyingi hunipatia ahueni.... mimi naamini ma- neurologists wanaweza kuweka link baina ya haya mawili..
 
Yeee, ng'wana Sayayi, genaga mashikolo mageni gete....mmh!
Mi naenda kulala sasa, maana mmmh!
 
steve D, una vijimambo mwanawe!!!! yaani hivi siku zote ..... mmmmm na husemi lo!!!

interesting, am thinking kichwa kitauma as a result of kupostpone kwenda GPO (general post office, thats what we used to call it), lakini unavosema ni kuwa unaumwa na kichwa and then u force the other process.... mwanzo this shd be a natural procedure, not forced.... i think hebu evaluate carefully what comes first.... your chronology doesnt add up...


lakini hongera kwa kugundua natural cure ya kichwa.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom