Head to Head: Zuku vs Star Times

Unataka kuniambia kile kifurushi cha elfu20 hua kinapungua channel list kila baada ya mda au unamaanisha nini kusema wananyofoa channel.
Ni kweli kama huamini waje ZUKU waseme, Hiyo package imepungua baada ya kunyofolewa channel kadhaa. na pia walitudanganya wakati tunaingia eti kutakuwa na ITV hadi leo hawajasema kwanini hawakutupatia.....ni vizuri mteja unampa taarifa hata kama siyo nzuri kwake
 
Salaam wanajf? hv naweza unganisha receiver ya Dstv kwa kutumia ungo na LNB ya Zuku!..maana naona km hawataki kunifungulia kireceiver chao!
 
Ni kweli kama huamini waje ZUKU waseme, Hiyo package imepungua baada ya kunyofolewa channel kadhaa. na pia walitudanganya wakati tunaingia eti kutakuwa na ITV hadi leo hawajasema kwanini hawakutupatia.....ni vizuri mteja unampa taarifa hata kama siyo nzuri kwake

dah umenimaliza nguvu zote mdau kusikia hizo mambo maana mimi mlalahoi wa kulia elfu20 na bado channel zipungue kila kukicha tena:confused2:
 
jamani sasa hicho kifurushi cha Easy Tv kinapatikana dar peke yake au paka Mikoani na ni sh Ngapi kwa anayejua plz????
 
Haya, baada ya siku kadhaa za kutumia king'amuzi cha ZUKU, haya ndo nimeyafahamu/ yanayonifanya niboreke.

1. King'amuzi hakidisplay channel number kwenye kioo chake, kuna taa mbili, ya power na signal. Ya tatu ambayo ni ya bluu, huwaka pale unapotumia touch panel yake.

2. Information (i) button kwenye remote itafanya display bar itokee kwa sekunde unazotaka (utakazokuwa umeseti) lakini pale inapotokea nataka nitazama kitu kidogo tu briofly, ie. jina la program iliyo hewani, then siwezi ku-exit mpaka muda nilioseti uishe. kama ni sekunde tano then mpaka ziishe even though utapress exit.

3. EPG haina reservation ya program. It is nice kuchek saa flani kuna kipindi gani stesheni flani, nzuri zaidi ni pale unapoweka reminder (DSTV) does so, hapa ukisahau imekula kwako. (si ndo hata nikakosa Presedential debate ya Romney na Obama hivihivi, dah!)

4. Booting time: Nimehakiki hili kwa stopwatch, 1min 6sec ndo boot time. That such a long time kwangu. Yaani kama unawahi kitu mbona utakoma. (Ila kama ilikuwa standby, then hamna shida-on the spot)

5. Security Lock: Naprefer kama ukilock channel for PG then unapoperuse, ile locked channel irukwe moja kwa moja, lakini hapa inakuletea na hiyo channel huku ikikuomba pincode/password. This is way bad, inaraise suspicion kwa nini umelock hiyo channel, watoto watauliza tu. noma hiyo

.All in all, nasubiri mwezi ukishaisha na nikifanya malipo yangu nione response yao, maana kuna wadau wameeleza kunyofolewa channel moja baada ya nyingine, si mchezo. Sijui ni kwa vifurushi vyote ama, so far nina kile cha 40. na by the way, below ndo remote controller yao. It looks impressive, I hope huduma zote zitakuwa active as per their website and customer care information from january. Zuku_054.jpg , Zuku_059.jpg
 
Haya, baada ya siku kadhaa za kutumia king'amuzi cha ZUKU, haya ndo nimeyafahamu/ yanayonifanya niboreke.

1. King'amuzi hakidisplay channel number kwenye kioo chake, kuna taa mbili, ya power na signal. Ya tatu ambayo ni ya bluu, huwaka pale unapotumia touch panel yake.

2. Information (i) button kwenye remote itafanya display bar itokee kwa sekunde unazotaka (utakazokuwa umeseti) lakini pale inapotokea nataka nitazama kitu kidogo tu briofly, ie. jina la program iliyo hewani, then siwezi ku-exit mpaka muda nilioseti uishe. kama ni sekunde tano then mpaka ziishe even though utapress exit.

3. EPG haina reservation ya program. It is nice kuchek saa flani kuna kipindi gani stesheni flani, nzuri zaidi ni pale unapoweka reminder (DSTV) does so, hapa ukisahau imekula kwako. (si ndo hata nikakosa Presedential debate ya Romney na Obama hivihivi, dah!)

4. Booting time: Nimehakiki hili kwa stopwatch, 1min 6sec ndo boot time. That such a long time kwangu. Yaani kama unawahi kitu mbona utakoma. (Ila kama ilikuwa standby, then hamna shida-on the spot)

5. Security Lock: Naprefer kama ukilock channel for PG then unapoperuse, ile locked channel irukwe moja kwa moja, lakini hapa inakuletea na hiyo channel huku ikikuomba pincode/password. This is way bad, inaraise suspicion kwa nini umelock hiyo channel, watoto watauliza tu. noma hiyo

.All in all, nasubiri mwezi ukishaisha na nikifanya malipo yangu nione response yao, maana kuna wadau wameeleza kunyofolewa channel moja baada ya nyingine, si mchezo. Sijui ni kwa vifurushi vyote ama, so far nina kile cha 40. na by the way, below ndo remote controller yao. It looks impressive, I hope huduma zote zitakuwa active as per their website and customer care information from january.View attachment 67227, View attachment 67229

hatimae nimeshavuta Zuku kit, ila jamaa waliniambia wamefungia USB port nisirekodi eti. Channel ziko quality saafi na zinavutia sana yani burudani tosha nyumbani na mama watoto.
 
Hawa jamaa wako kibiashara zaidi since. It's complusory from January.Star Times wameongeza ITV,EATV,STAR TV kwa majaribio under TCRA agreement but their not sure 2 carry on from January depends on agreements
 
Hawa jamaa wako kibiashara zaidi since. It's complusory from January.Star Times wameongeza ITV,EATV,STAR TV kwa majaribio under TCRA agreement but their not sure 2 carry on from January depends on agreements

kumbee, nahisi ikifika January, 2012 ukiingia sebuleni kwa mtu unakutana na mlima wa ving'amuzi kudaadeki
 
kumbee, nahisi ikifika January, 2012 ukiingia sebuleni kwa mtu unakutana na mlima wa ving'amuzi kudaadeki

Na ndio maana mimi nimeamua kwamba,nitakuwa wa mwisho kununua king'amuzi; likely,itakuwa after January. Nasubiri kwanza huu upepo mchafu upite. Maana sina store ya kutosha kutunzia mascrappers ya ving'amuzi.
 
kiukweli mkuu umenifurahisha sana kwa analysis yako....nakupa tano kwa hilo...mimi si mteja wa zuku,ila startimes,nimeitumia tokea mwaka 2010..ni ya kawaida tu sijaona jipya na kila mwezi nalipia...

sasa basi kilichotokea nikalipia hicho kifurushi cha kili mwezi uliopita,naomba nikiri kuwa ndo nimeona hela yangu imetumika kwa uhalali sasa,manake kuna chaneli zimeongezeka ni nzuri sana nitajaribu kuziorodhesha hapa chini:
  1. Baby Tv-hii ni chanel nzuri sana ya watot
    pia mechi zenyewe ni za j5 tu! nahc kama nicheki na zuku ila nao upande wa soka wananikata stimu.
 
kumbee, nahisi ikifika January, 2012 ukiingia sebuleni kwa mtu unakutana na mlima wa ving'amuzi kudaadeki

hapo mjomba umenigusa kwani nilikuwa na dish na receiver yake ya strong which are now no longer useful,sasa nina startimes ambayo naidash mdogomdogo ili ninunue Zuku ndani ya wiki hii. sasa tena kama status ikipanda na dstv itahusika! mwe! huu ni mlima wa ving'amuzi kweli.
 
Wakuu heshima mbele,
leo natamani tutathmini kwa pamoja huduma zinazotolewa na hizi kampuni mbili.

1. Vifurushi
Zuku wana vifurushi vya aina 4: Zuku classic, Zuku premium, Asia classic na Asia premium.
Zuku classic ina 35+ video channels, 40+ audio channels, na Local channels, hapa sijajua ni zipi hizo. (20,000 / mwezi)
Zuku Premium ina 60+ video channels, 40+ audio channels, na local channels. (40,000 / mwezi)
Asia classic ina 40+ video channels, 40+ audio channels, na local channels (30,000 / mwezi)
Asia Premium ina 70+ video channels, 40+ audio channels (60,000 / mwezi)

Star times wana vifurushi vya aina 3: Mambo/Basic, Uhuru na Kili
Mambo/Basic ina takriban stesheni 35 and growing (9,000 / mwezi)
Uhuru ikiwa na takriban stesheni 47 and growing (18,000 / mwezi)
na Kili (latest entry) ikiwa na stesheni 52 and growing (35,000 / mwezi)

2. Installation
A complete Zuku TV kit + Installation itakugharimu 92,000. (hawa wakufungia kidish chao - to your decoder)

With star times, you can do it yourself, mana ni antenna yako tu to the decoder (ya ndani au nje kulingana na sehemu uliyopo) na gharama iliyopo kwa ofa sasaivi ni 39,000. bei ya kawaida ni 70,000.

3. Malipo
Zuku inalipiwa through mobile money: M-pesa, airtel money. Sina hakika kama wameshaongeza miotandao mingine. But also wana option ya kulipa online na visa card.(nadhan hii ni mostly applicable Uganda)

Startimes wao pia wana mobile money kama njia ya malipo, kuna m-pesa, tigo pesa, na pia kupitia "wakala" maxcom, na selcom paypoint.

4. Goodies
Well, hapa actually namaanisha huduma za ziada zitakazokufanya ununue huduma mojawapo.

Zuku wana online schedule ya stecheni zao, na pia upcoming stuffs, ikiwemo youtube channel, ambapo wana-advertise program (including movies & etc) na kiujumla website yao imekaa njema. (hosting yao ni Kenya) kuna namba, facebook page, na twitter, hivyo ni rahisi kuwapata kwa medium unayoprefer.

Star times, aka wawekezaji - hawana website yenye mvuto kivile (imehostiwa bongo), ila wameweka taarifa za maduka yao kila mkoa (wanapo-operate) na namba zao (picha zikiwemo pia) This is nice kwa kuwa hutapotea ama kutapeliwa kirahisi.

Conclusion:
Kama hutaki watu, especially mwenye nyumba wajue kuwa una kin'gamuzi, basi nunua Star times na uendelee kutumia antena yako ya kawaida. Though kufikia tarehe 31 disemba atajua tu ya kwamba umenunua, otherwise wewe huangalii taarifa ya habari TBC. teh teh.

kama hujali sana, basi nenda kwa Zuku, huduma yao ya Nairobi wana kitu kinaitwa triple play, hapa wanakupa kin'gamuzi, simu na internet uhangaike nayo mwenyewe kwa malipo yaleyale, ambayo ni fast kuliko hizi nilizowahi kutumia bongo (ttcl, voda, tigo na wenzao) 1MB kwa 2999, kama 60,000 ya kibongo - au 8MB kwa 3999, kama 80,000 ya kibongo, na pia 20MB kwa 9999 - takriban kilo 2 za bongo, japo tunatumia nyumba nzima (aka watu watatu) kwa wireless, ukitaka cable pia ipo (spidio yao ni noma, I have to stress this). So ninahope siku wata-uipgrade huduma hii kwa hapa tz ili nasi tufaidi.

Mimi nitakuwa mtu wa Zuku, sijajua tu kama bei itapanda ama itapungua baada ya disemba, naskilizia kwanza kabloa ya kununua. Enough for now, ni muda wa kuskia toka kwa wadau.

Bibliography:
Zuku Kenya
Zuku Tanzania
Startimes Tanzania
Japo Tz
Mimi ninazo decoder zote mbili ya zuku na ya star times mmoja akizingua nampiga chini kwa muda mpaka akionesha kujirekebisha au nikisahau uzinguzi wake.
 
Back
Top Bottom