Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Wakuu heshima mbele,
leo natamani tutathmini kwa pamoja huduma zinazotolewa na hizi kampuni mbili.
1. Vifurushi
Zuku wana vifurushi vya aina 4: Zuku classic, Zuku premium, Asia classic na Asia premium.
Zuku classic ina 35+ video channels, 40+ audio channels, na Local channels, hapa sijajua ni zipi hizo. (20,000 / mwezi)
Zuku Premium ina 60+ video channels, 40+ audio channels, na local channels. (40,000 / mwezi)
Asia classic ina 40+ video channels, 40+ audio channels, na local channels (30,000 / mwezi)
Asia Premium ina 70+ video channels, 40+ audio channels (60,000 / mwezi)
Star times wana vifurushi vya aina 3: Mambo/Basic, Uhuru na Kili
Mambo/Basic ina takriban stesheni 35 and growing (9,000 / mwezi)
Uhuru ikiwa na takriban stesheni 47 and growing (18,000 / mwezi)
na Kili (latest entry) ikiwa na stesheni 52 and growing (35,000 / mwezi)
2. Installation
A complete Zuku TV kit + Installation itakugharimu 92,000. (hawa wakufungia kidish chao - to your decoder)
With star times, you can do it yourself, mana ni antenna yako tu to the decoder (ya ndani au nje kulingana na sehemu uliyopo) na gharama iliyopo kwa ofa sasaivi ni 39,000. bei ya kawaida ni 70,000.
3. Malipo
Zuku inalipiwa through mobile money: M-pesa, airtel money. Sina hakika kama wameshaongeza miotandao mingine. But also wana option ya kulipa online na visa card.(nadhan hii ni mostly applicable Uganda)
Startimes wao pia wana mobile money kama njia ya malipo, kuna m-pesa, tigo pesa, na pia kupitia "wakala" maxcom, na selcom paypoint.
4. Goodies
Well, hapa actually namaanisha huduma za ziada zitakazokufanya ununue huduma mojawapo.
Zuku wana online schedule ya stecheni zao, na pia upcoming stuffs, ikiwemo youtube channel, ambapo wana-advertise program (including movies & etc) na kiujumla website yao imekaa njema. (hosting yao ni Kenya) kuna namba, facebook page, na twitter, hivyo ni rahisi kuwapata kwa medium unayoprefer.
Star times, aka wawekezaji - hawana website yenye mvuto kivile (imehostiwa bongo), ila wameweka taarifa za maduka yao kila mkoa (wanapo-operate) na namba zao (picha zikiwemo pia) This is nice kwa kuwa hutapotea ama kutapeliwa kirahisi.
Conclusion:
Kama hutaki watu, especially mwenye nyumba wajue kuwa una kin'gamuzi, basi nunua Star times na uendelee kutumia antena yako ya kawaida. Though kufikia tarehe 31 disemba atajua tu ya kwamba umenunua, otherwise wewe huangalii taarifa ya habari TBC. teh teh.
kama hujali sana, basi nenda kwa Zuku, huduma yao ya Nairobi wana kitu kinaitwa triple play, hapa wanakupa kin'gamuzi, simu na internet uhangaike nayo mwenyewe kwa malipo yaleyale, ambayo ni fast kuliko hizi nilizowahi kutumia bongo (ttcl, voda, tigo na wenzao) 1MB kwa 2999, kama 60,000 ya kibongo - au 8MB kwa 3999, kama 80,000 ya kibongo, na pia 20MB kwa 9999 - takriban kilo 2 za bongo, japo tunatumia nyumba nzima (aka watu watatu) kwa wireless, ukitaka cable pia ipo (spidio yao ni noma, I have to stress this). So ninahope siku wata-uipgrade huduma hii kwa hapa tz ili nasi tufaidi.
Mimi nitakuwa mtu wa Zuku, sijajua tu kama bei itapanda ama itapungua baada ya disemba, naskilizia kwanza kabloa ya kununua. Enough for now, ni muda wa kuskia toka kwa wadau.
Bibliography:
Zuku Kenya
Zuku Tanzania
Startimes Tanzania
Japo Tz
leo natamani tutathmini kwa pamoja huduma zinazotolewa na hizi kampuni mbili.
1. Vifurushi
Zuku wana vifurushi vya aina 4: Zuku classic, Zuku premium, Asia classic na Asia premium.
Zuku classic ina 35+ video channels, 40+ audio channels, na Local channels, hapa sijajua ni zipi hizo. (20,000 / mwezi)
Zuku Premium ina 60+ video channels, 40+ audio channels, na local channels. (40,000 / mwezi)
Asia classic ina 40+ video channels, 40+ audio channels, na local channels (30,000 / mwezi)
Asia Premium ina 70+ video channels, 40+ audio channels (60,000 / mwezi)
Star times wana vifurushi vya aina 3: Mambo/Basic, Uhuru na Kili
Mambo/Basic ina takriban stesheni 35 and growing (9,000 / mwezi)
Uhuru ikiwa na takriban stesheni 47 and growing (18,000 / mwezi)
na Kili (latest entry) ikiwa na stesheni 52 and growing (35,000 / mwezi)
2. Installation
A complete Zuku TV kit + Installation itakugharimu 92,000. (hawa wakufungia kidish chao - to your decoder)
With star times, you can do it yourself, mana ni antenna yako tu to the decoder (ya ndani au nje kulingana na sehemu uliyopo) na gharama iliyopo kwa ofa sasaivi ni 39,000. bei ya kawaida ni 70,000.
3. Malipo
Zuku inalipiwa through mobile money: M-pesa, airtel money. Sina hakika kama wameshaongeza miotandao mingine. But also wana option ya kulipa online na visa card.(nadhan hii ni mostly applicable Uganda)
Startimes wao pia wana mobile money kama njia ya malipo, kuna m-pesa, tigo pesa, na pia kupitia "wakala" maxcom, na selcom paypoint.
4. Goodies
Well, hapa actually namaanisha huduma za ziada zitakazokufanya ununue huduma mojawapo.
Zuku wana online schedule ya stecheni zao, na pia upcoming stuffs, ikiwemo youtube channel, ambapo wana-advertise program (including movies & etc) na kiujumla website yao imekaa njema. (hosting yao ni Kenya) kuna namba, facebook page, na twitter, hivyo ni rahisi kuwapata kwa medium unayoprefer.
Star times, aka wawekezaji - hawana website yenye mvuto kivile (imehostiwa bongo), ila wameweka taarifa za maduka yao kila mkoa (wanapo-operate) na namba zao (picha zikiwemo pia) This is nice kwa kuwa hutapotea ama kutapeliwa kirahisi.
Conclusion:
Kama hutaki watu, especially mwenye nyumba wajue kuwa una kin'gamuzi, basi nunua Star times na uendelee kutumia antena yako ya kawaida. Though kufikia tarehe 31 disemba atajua tu ya kwamba umenunua, otherwise wewe huangalii taarifa ya habari TBC. teh teh.
kama hujali sana, basi nenda kwa Zuku, huduma yao ya Nairobi wana kitu kinaitwa triple play, hapa wanakupa kin'gamuzi, simu na internet uhangaike nayo mwenyewe kwa malipo yaleyale, ambayo ni fast kuliko hizi nilizowahi kutumia bongo (ttcl, voda, tigo na wenzao) 1MB kwa 2999, kama 60,000 ya kibongo - au 8MB kwa 3999, kama 80,000 ya kibongo, na pia 20MB kwa 9999 - takriban kilo 2 za bongo, japo tunatumia nyumba nzima (aka watu watatu) kwa wireless, ukitaka cable pia ipo (spidio yao ni noma, I have to stress this). So ninahope siku wata-uipgrade huduma hii kwa hapa tz ili nasi tufaidi.
Mimi nitakuwa mtu wa Zuku, sijajua tu kama bei itapanda ama itapungua baada ya disemba, naskilizia kwanza kabloa ya kununua. Enough for now, ni muda wa kuskia toka kwa wadau.
Bibliography:
Zuku Kenya
Zuku Tanzania
Startimes Tanzania
Japo Tz