babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,101
- 15,991
utajiri wa kiafrika,popote alipo lazima AK 47 ionekane.
Mkuu kama vile tumelaaniwautajiri wa kiafrika,popote alipo lazima AK 47 ionekane.
Birigita hizo AK 47 ziko mbili tazama vizuri pale nyuma ya yule anaesukwahe!! kwani lazima wavue mazubega yao?!!! naona kuna AK47 pembeni
Rebels are people who are fighting against their own country's army in order to change the political system there.hivi ni rebels au lebels?...hebu nithibitishieni
hawa watu ni wasafi... wamevua nguo ili zisishike nywele...
Wasiwasi wangu na hapo chini alipokaa huyo anayenyolewa... hakuna wadudu??