Anaomba maushauri toka kwa wadau kwani yeye bado si mwanamuziki mkubwa.
Kesho atakuwa Mombasa na Kidumu wanaperform.
Anawashukuru waTZ wote waliompigia kura.
du. haya mambo bana! mtu tayari anajiona maarufu, kalewa pombe wakati ndo kwanza kashuka uwanja wa ndege. ni kujidhalilisha. actually yule ni commedian zaidi kuliko musician! all n all, namtakia mafanikio.
To be honest huyu jamaa simpendi hata kidogo. Anapenda misifa, ni limbukeni, wakenya wanamwita comedian anapata bichwa hakuna lolote analochekesha. Sikuwahi kumpigia kura yangu, kura yangu nilimpa Aneth na Leah lakini bahati mbaya hawakufika mbali..
tukubali au tukatae...dogo ni mwanamuziki mkali na anatisha...kunywa/ulevi kupindukia,akili kupindukia, uzinzi, uongo, roho mbaya na choyo hayo ni mapungufu ambayo kati yake kila mwanadamu analo moja alilozaliwa nalo au kuumbwa nalo na muumba...tujadili usanii wake na uanamuziki wake na sio mapungufu yake ya ki-binaadamu... Ni maoni tuu
ila tukirudi nyuma mbona wasanii ambao hawakushiriki mashindano ndiyo kazi zao zinaonekana? Pia sijapata kusikia mshindi au mshiriki wa BSS au TPF akiwa walau nominated kwenye tuzo yoyote?
ila tukirudi nyuma mbona wasanii ambao hawakushiriki mashindano ndiyo kazi zao zinaonekana? Pia sijapata kusikia mshindi au mshiriki wa bss au tpf akiwa walau nominated kwenye tuzo yoyote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.