Hbr ya Gazeti la Mwananchi la trh 23 isemayo Mwanafunzi makumira avamiwa ni ya uongo

yplus

Senior Member
Mar 20, 2012
153
69
Kupigwa kwa Mwanafunzi wa Makumira ambaye ni kada wa CCM haihusiani kabisa na Siasa,nilikuwepo eneo la tukio na hakupigiwa nyumbani ni ugonvi wa Bar,Mwandishi wa Mwananchi kuhusu hii habari amepotosha umma...
Nawasilisha ukweli kuhusu tukio zima...
Ugonvi ulianza hivi...
Kijana Emmanuel Kahaya alikuwa Bar anakunywa Pombe,wakatokea vijana wengine walio kuja na wao kunywa.Mida ilikuwa imekwenda sana.Rafiki wa Emmanuel Kahaya anayejulikana kwa jina la Filbert alimnunulia bia Kijana ambaye ndo mshtakiwa anayeitwa Chriss.Bar Meid aligoma kutoa hiyo bia kwa madai ya kuwa muda umeisha anafunga Bar.Ilikuwa mida ya saa saba usiku.Huyo kijana Chriss akaingia kwenye mzozo na mhudumu huyo wa Bar na kutukanana sana.Baadae Kahaya aliingilia kati na kumtaka huyo kijana aache kumtukana huyo Dada aliyegoma kuhudumia Bia,Kijana Chriss hakupenda Kahaya kuingilia hiyo mada ndipo ugonvi ulipo zuka na kuanza kupigana hapo Bar.Kwa kuwa Kahaya alikuwa amelewa,alikuwa anadondoka dondoka na akaumia mikononi...
Habari iliyo andikwa na gazeti la Mwananchi kuwa alikutwa chumbani kwake anajisomea akatekwa,akawekewa kitambaa mdomoni na kuburuzwa nje nakupigwa sana ni ya uongo kwa asilimia 100.

Polisi tumieni busara msisikilize maneno ya Emmanuel Kahaya kwa kuwa Kaka yake ni Mbunge Mjeruhiwa wa kura za Maoni CCM Arumeru...
 
Kupigwa kwa Mwanafunzi wa Makumira ambaye ni kada wa CCM haihusiani kabisa na Siasa,nilikuwepo eneo la tukio na hakupigiwa nyumbani ni ugonvi wa Bar,Mwandishi wa Mwananchi kuhusu hii habari amepotosha umma...
Nawasilisha ukweli kuhusu tukio zima...
Ugonvi ulianza hivi...
Kijana Emmanuel Kahaya alikuwa Bar anakunywa Pombe,wakatokea vijana wengine walio kuja na wao kunywa.Mida ilikuwa imekwenda sana.Rafiki wa Emmanuel Kahaya anayejulikana kwa jina la Filbert alimnunulia bia Kijana ambaye ndo mshtakiwa anayeitwa Chriss.Bar Meid aligoma kutoa hiyo bia kwa madai ya kuwa muda umeisha anafunga Bar.Ilikuwa mida ya saa saba usiku.Huyo kijana Chriss akaingia kwenye mzozo na mhudumu huyo wa Bar na kutukanana sana.Baadae Kahaya aliingilia kati na kumtaka huyo kijana aache kumtukana huyo Dada aliyegoma kuhudumia Bia,Kijana Chriss hakupenda Kahaya kuingilia hiyo mada ndipo ugonvi ulipo zuka na kuanza kupigana hapo Bar.Kwa kuwa Kahaya alikuwa amelewa,alikuwa anadondoka dondoka na akaumia mikononi...
Habari iliyo andikwa na gazeti la Mwananchi kuwa alikutwa chumbani kwake anajisomea akatekwa,akawekewa kitambaa mdomoni na kuburuzwa nje nakupigwa sana ni ya uongo kwa asilimia 100.

Polisi tumieni busara msisikilize maneno ya Emmanuel Kahaya kwa kuwa Kaka yake ni Mbunge Mjeruhiwa wa kura za Maoni CCM Arumeru...


Mkuu unaonaje kama ukiwasiliana na polisi moja kwa moja ili uwe shahidi namba moja ili kumnusuru kijana mwenzio chriss asibambikiwe kesi? au unaogopa kushikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi!?
 
Kwa jinsi serikali yetu ilivyo na polisisisiem walivyo wanaweza wakamgeuzia kesi kwa 75%
 
Kutokana na maelezo haya, gazeti la Mwananchi mdiyo linamkaribisha MD mpya? Endapo kesho hakutakuwa na update ya habari hii, ndugu yangu Mhando kauvaa mkenge.
 
Wapumbavu sana! Hakuna journalist pale, Tido atakuwa na wakati mgumu sana kufanya kazi na hawa madunya. Shame on them!
 
Nakushauri utume haya maelezo kwa mhariri wa gazeti la mwananchi pia, ili awe updated...
 
Mkuu unaonaje kama ukiwasiliana na polisi moja kwa moja ili uwe shahidi namba moja ili kumnusuru kijana mwenzio chriss asibambikiwe kesi? au unaogopa kushikiliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi!?

Hata akienda kutoa ushahidi huo Chriss bado ana kesi sema itakuwa ndogo kuliko ya kubambikiwa
 
Back
Top Bottom