Kupigwa kwa Mwanafunzi wa Makumira ambaye ni kada wa CCM haihusiani kabisa na Siasa,nilikuwepo eneo la tukio na hakupigiwa nyumbani ni ugonvi wa Bar,Mwandishi wa Mwananchi kuhusu hii habari amepotosha umma...
Nawasilisha ukweli kuhusu tukio zima...
Ugonvi ulianza hivi...
Kijana Emmanuel Kahaya alikuwa Bar anakunywa Pombe,wakatokea vijana wengine walio kuja na wao kunywa.Mida ilikuwa imekwenda sana.Rafiki wa Emmanuel Kahaya anayejulikana kwa jina la Filbert alimnunulia bia Kijana ambaye ndo mshtakiwa anayeitwa Chriss.Bar Meid aligoma kutoa hiyo bia kwa madai ya kuwa muda umeisha anafunga Bar.Ilikuwa mida ya saa saba usiku.Huyo kijana Chriss akaingia kwenye mzozo na mhudumu huyo wa Bar na kutukanana sana.Baadae Kahaya aliingilia kati na kumtaka huyo kijana aache kumtukana huyo Dada aliyegoma kuhudumia Bia,Kijana Chriss hakupenda Kahaya kuingilia hiyo mada ndipo ugonvi ulipo zuka na kuanza kupigana hapo Bar.Kwa kuwa Kahaya alikuwa amelewa,alikuwa anadondoka dondoka na akaumia mikononi...
Habari iliyo andikwa na gazeti la Mwananchi kuwa alikutwa chumbani kwake anajisomea akatekwa,akawekewa kitambaa mdomoni na kuburuzwa nje nakupigwa sana ni ya uongo kwa asilimia 100.
Polisi tumieni busara msisikilize maneno ya Emmanuel Kahaya kwa kuwa Kaka yake ni Mbunge Mjeruhiwa wa kura za Maoni CCM Arumeru...
Nawasilisha ukweli kuhusu tukio zima...
Ugonvi ulianza hivi...
Kijana Emmanuel Kahaya alikuwa Bar anakunywa Pombe,wakatokea vijana wengine walio kuja na wao kunywa.Mida ilikuwa imekwenda sana.Rafiki wa Emmanuel Kahaya anayejulikana kwa jina la Filbert alimnunulia bia Kijana ambaye ndo mshtakiwa anayeitwa Chriss.Bar Meid aligoma kutoa hiyo bia kwa madai ya kuwa muda umeisha anafunga Bar.Ilikuwa mida ya saa saba usiku.Huyo kijana Chriss akaingia kwenye mzozo na mhudumu huyo wa Bar na kutukanana sana.Baadae Kahaya aliingilia kati na kumtaka huyo kijana aache kumtukana huyo Dada aliyegoma kuhudumia Bia,Kijana Chriss hakupenda Kahaya kuingilia hiyo mada ndipo ugonvi ulipo zuka na kuanza kupigana hapo Bar.Kwa kuwa Kahaya alikuwa amelewa,alikuwa anadondoka dondoka na akaumia mikononi...
Habari iliyo andikwa na gazeti la Mwananchi kuwa alikutwa chumbani kwake anajisomea akatekwa,akawekewa kitambaa mdomoni na kuburuzwa nje nakupigwa sana ni ya uongo kwa asilimia 100.
Polisi tumieni busara msisikilize maneno ya Emmanuel Kahaya kwa kuwa Kaka yake ni Mbunge Mjeruhiwa wa kura za Maoni CCM Arumeru...