Wayapige mnada yale malori yaliyoandikwa Signal,transfuel na lake Oil madogo waendelee kusoma.
Big up wafadhili kwa kuamua kupeleka ela kwenye miradi naona uko sijui wataamua kuiba cement!
kunatetesi hazina imefulia na imeshindwa kuwapa loans board pesa za kukopesha wanafunzi , Hadi sasa vyuo vitatu tu ndio vimepewa fedha na loans board mwenye taarifa sahihi atujuze
Wayapige mnada yale malori yaliyoandikwa Signal,transfuel na lake Oil madogo waendelee kusoma.
Big up wafadhili kwa kuamua kupeleka ela kwenye miradi naona uko sijui wataamua kuiba cement!
First class ecomist,mwigulu njoo 2minishe.
Huku UDOM hali ya maisha kwa wanafunzi si nzuri je serikali ituelezee maana ya kuwa na bujeti ya mwaka.
jamani BOT juzi tu walieleza tuna akiba ya dola bilioni tatu. sasa tetesi zatoka wapi?
jamani BOT juzi tu walieleza tuna akiba ya dola bilioni tatu. sasa tetesi zatoka wapi?
Huku UDOM hali ya maisha kwa wanafunzi si nzuri je serikali ituelezee maana ya kuwa na bujeti ya mwaka.