Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,018
Mgogoro mkubwa umezuka kwenye kampuni ya SH AMON...INAYOUZA VIPODOZI na kuendesha shuguli za mahoteli....baadhi ya wafanyakazi waliofukuzwa kazi wamepokea barua zao bila ya kupewa chochote...
Kati ya wafanyakazi waliopewa barua hizo wapo walioitumikia zaidi ya miaka kumi.....wafanyakazi wamepeleka malalamiko yao kwenye tume ya usuluhishi...iliyopo chini ya wizara ya kazi vijana na maendeleo ya vijana
wanaitaji tume hiyo kumuamuru mwajiri kulipa mafao yao kwa kila mtu kutokana na muda wa kazi aliofanya....wafanyakazi waliofukuzwa wanadai kiinua mgongo na wengine cha hadi miaka 10 ..na wengine wanadai mishahara mpaka sasa...
Tayari Tume imemwita mwajiri sh amon na walalamikaji lakini hakuna kinachoendelea baada ya mwajiri kuwaarifu yeye watakutana mahakamani hakuna mwenye kumlazimisha kwenda kwenye majadiliano...
Mkurugenzi wa SH AMON alipoulizwa alisema wanaolalamika wakutane naye mahakamani.... hataki maswali nje ya mahakama...niemsema sitaki kumsikia mtu akinipigia simu tena tena mkome nyie waandishi mmerogwa alisikika akitukana na kutoa kejeli za maneno mengine yasiyoweza kuelezwa kwa jamii....huyu bwana anaonyesha UDIKTETA kabisa.....
Wafanyakazi wengi wamekuwa wakifokewa ama kuachishwa kazi kutokana na kutoka aouting na mzee...haya ndio mambo yanayoendelea pale S.H. AMON karibu kila mtu amekuwa akitembea na mmiliki mpaka wanawake wenye ndoa zao.....wafanyakzi wanatishwa kila siku
Kati ya wafanyakazi waliopewa barua hizo wapo walioitumikia zaidi ya miaka kumi.....wafanyakazi wamepeleka malalamiko yao kwenye tume ya usuluhishi...iliyopo chini ya wizara ya kazi vijana na maendeleo ya vijana
wanaitaji tume hiyo kumuamuru mwajiri kulipa mafao yao kwa kila mtu kutokana na muda wa kazi aliofanya....wafanyakazi waliofukuzwa wanadai kiinua mgongo na wengine cha hadi miaka 10 ..na wengine wanadai mishahara mpaka sasa...
Tayari Tume imemwita mwajiri sh amon na walalamikaji lakini hakuna kinachoendelea baada ya mwajiri kuwaarifu yeye watakutana mahakamani hakuna mwenye kumlazimisha kwenda kwenye majadiliano...
Mkurugenzi wa SH AMON alipoulizwa alisema wanaolalamika wakutane naye mahakamani.... hataki maswali nje ya mahakama...niemsema sitaki kumsikia mtu akinipigia simu tena tena mkome nyie waandishi mmerogwa alisikika akitukana na kutoa kejeli za maneno mengine yasiyoweza kuelezwa kwa jamii....huyu bwana anaonyesha UDIKTETA kabisa.....
Wafanyakazi wengi wamekuwa wakifokewa ama kuachishwa kazi kutokana na kutoka aouting na mzee...haya ndio mambo yanayoendelea pale S.H. AMON karibu kila mtu amekuwa akitembea na mmiliki mpaka wanawake wenye ndoa zao.....wafanyakzi wanatishwa kila siku