Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,917
- 6,002
Hizo kwato za huyo Jinn, mbona zinafanana na kale 'ka-mnyama'? Kichwa cha popobawa mbona zinafanana na kale 'ka-mnyama'? Kuna uhusiano gani mkuu?
Majini Kwato zao huwa zinafanana Wanao uwezo wa kujigeuza Binadamu au wanyama haswa Nyoka mkubwa Chatu,Paka Mweusi Nge mkubwa na Mbwa Mweusi, kwahiyo hakuna kitu cha kushangaa mkuu. IselamagaziHizo kwato za huyo Jinn, mbona zinafanana na kale 'ka-mnyama'? Kichwa cha popobawa mbona zinafanana na kale 'ka-mnyama'? Kuna uhusiano gani mkuu?
Mku Kwa waisla neno Majini ,Malaika,Mashetani ni kitu cha kawaida hawa ni viumbe wa Mwenyeezi Mungu. Kwani katika kitabu cha waislam Quran kinafundisha kuwa Binadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa duniani Sijuwi
nyinyi Wenzetu huko makanisani hamuwaulizi Ma Padri na Maaskofu au Wachungaji maswali ya dini? kila siku Maaskofu na hao wachungaji wanafundisha Bwana YESU Mwana Mungu mungu mwenyewe hakuna mafundisho makubwa kanisani ila ni
hayo basi hiyo dini yenu ya kikristo hakuna maswali wala majibu ? ndio maana Wakristo wengi ukitaja neno majini wanaogpa na wengi wao watupu hawajuwi kutkana huko kanisani hakuna maswali wala majibu poleni sana ndugu zangu Wakristo. mimi sio mtabiri mimi ni mzizimkavu hauchimbwi Dawa.
Kuna Binadamu kamuona Mungu? Mbona tunamini kuwa kuna Mungu? kuna kiumbe yoyote aliyemuona Mungu? Kuna mtu aliyewaona Malaika ? mbona tunaamini Viumbe malaika wapo?
Muone hivyo hivyo akikujia usiku nyumbani kwako basi utaweza kufa hapo hapo kama siku zako zimefika Mungu akulinde na huyo Jini... FirstLady1 huyo kazi yake kula watoto wachanga matumboni mwa mama wenye uja uzito, huyo kazi yake kuharibu wanaume nguvu za kiume,huyo kazi yake kumtia mtu mwendawazimu,huyo kazi yake kumfanya mwanamke awe anatoka siku zake za hedhi mfululizo, huyo jini ana mambo mengi tu lakini akifanya hivyo anakuwa ni pepo Mchafu.Na Asipofanya hayo anakuwa ni pepo mzuri.hata hatishi
Mie nikajua nikifungua tu hii post nitachanganyikiwa kumbe ....
Kwa imani ya Dini yangu ya Kiislam nina ushahidi kamili je wewe una Dini gani? .. Kiranga
Wewe huamini vitu visivyoonekana? Kwa Mfano Upepo unaweza kuona? mbona unamini kama upepo upo? kuna viumbe mungu ameviweka humu humu duniani tunaishi navyo hatuviwezi kuviona lakini hivyo viumbe vinatuona wewe kwani huna Dini?Mkristo au ni muislam? unaamini kuwa iko siku utakufa? Je Umesha wahi kuona kifo kwa macho yako?kama una amini iko siku utakufa basi amini kuna Mwenyeezi Mungu ,Majini na malaika na amini ipo siku ya mwisho siku ya hukumu amini kuna moto wajahanamu na kuna pepo acha usingizi wako huo.Kwa hiyo kwavile hujawahi ona kitu unaweza kubumi sio?? Kwa hiyo na mimi naweza kupiga kijimchoro changu na kusema nilichochora ni mungu??? Kingine sio kila mtu anaamini mungu mkubwa.. Na kama hakuna mtu aliyewahi kuona malaika au mungu inabidi ujiulize mara kumi kumi aiseee..
Kwa imani ya Dini yangu ya Kiislam nina ushahidi kamili je wewe una Dini gani? .. Kiranga
Ninakuacha na upofu wako wewe . Bosi MichembeLete huo ushahidi tufanye na press conference habari maelezo tualike na waandishi..
hata hatishi
Mie nikajua nikifungua tu hii post nitachanganyikiwa kumbe ....
MziziMkavu hata hawezi kunisogelea nina upako:coffee:Muone hivyo hivyo akikujia usiku nyumbani kwako basi utaweza kufa hapo hapo kama siku zako zimefika Mungu akulinde na huyo Jini... FirstLady1 huyo kazi yake kula watoto wachanga matumboni mwa mama wenye uja uzito, huyo kazi yake kuharibu wanaume nguvu za kiume,huyo kazi yake kumtia mtu mwendawazimu,huyo kazi yake kumfanya mwanamke awe anatoka siku zake za hedhi mfululizo, huyo jini ana mambo mengi tu lakini akifanya hivyo anakuwa ni pepo Mchafu.Na Asipofanya hayo anakuwa ni pepo mzuri.
MziziMkavu kwa nini kila kitu kibaya ni cheusi ina maana watu wote weusi ni majini?Majini Kwato zao huwa zinafanana Wanao uwezo wa kujigeuza Binadamu au wanyama haswa Nyoka mkubwa Chatu,Paka Mweusi Nge mkubwa na Mbwa Mweusi, kwahiyo hakuna kitu cha kushangaa mkuu. Iselamagazi