Haya Wabongo nataka kujenga nyumba kama hiyo Tanzania mnaseamaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,314
33,108
62864_151861984853857_117359528304103_255482_3452302_n.jpg
Nina kiwanja changu vijibweni nataka kujenga nyumba kama hiyo Mnasemaje? wabongo? itakuwa na thamani ya dola laki 5.
 
62864_151861984853857_117359528304103_255482_3452302_n.jpg
Nina kiwanja changu vijibweni nataka kujenga nyumba kama hiyo Mnasemaje? wabongo? itakuwa na thamani ya dola laki 5.

Mkuu nyumbani ni nzuri kwa wastani.
Tatizo tu ni nyumba ndogo sana, haiwezi kuwa na zaidi ya vyumba viwili.
Ratio ya built-up area/plot ni kubwa sana, kiwanja kidogo, hivyo kupunguza thamani ya jengo.

Hata hivyo finishes ni ok ingawaje slightly overdone.

Hivyo basi thamani ya jingo hilo ikizidi dola laki Tatu nitashangaa,to be conservative pengine two fifty.
 
Mkuu nyumbani ni nzuri kwa wastani.
Tatizo tu ni nyumba ndogo sana, haiwezi kuwa na zaidi ya vyumba viwili.
Ratio ya built-up area/plot ni kubwa sana, kiwanja kidogo, hivyo kupunguza thamani ya jengo.

Hata hivyo finishes ni ok ingawaje slightly overdone.

Hivyo basi thamani ya jingo hilo ikizidi dola laki Tatu nitashangaa,to be conservative pengine two fifty.
Mkuu@Lole Gwakisa Ni Kweli nyumba ni ndogo lakini kwa upande wangu inatosha ina vyumba 4, chumba cha varanda na choo,bafu na jiko kwangu mimi na mke wangu na watoto zetu 2 si inatosha Mkuu? Nyumba zenye vyumba

vingi zinachosha bwana tunakwenda na wakati nyumba ikiwa na vyumba vingi Wageni hawaihi si unajuwa mimi ni

Mzaramo wa Bagamoyo. Nitaishi na mke wangu wa kizungu na watoto wetu 2 inatosha mambo ya kupokea wageni hakuna bwana mgeni akitaka kuja nyumbani itabidi apige simu .
 
nyumba hiyo kwa vijibweni hata $150,000 kazi kidogo... sikuhizi china iko mwake

btw the design and everything iko simple sana

good colors though
 
Back
Top Bottom