Dar yako! We mwenyewe umepelekwa na mjomba siye tumekaa kimya, ulikuja mshambaa sa hivi unajitia (with a change of voice) 'overpopulation'.
chumba No.?
Kwani umebadilisha mtandao.. .
Teh mwambie nayeye aje aonje fya kumenya....Hahaha, haya bana. . .Tuntufye mzima kabisa, na Anangisye anawasalimia sana. . .
Tuuze sura wote siyo eeh?
Ok pouwa nakukumbusha ukikaribia Ubungo kaa mkao wa kuibiwaSi anavilima huku tukuyu ndo vinapandishwa gari kuja huko!
Mkuu karibu tushirikiane maumivu. vyakula bei juu, foleni kila barabara, maji tabu, umeme shida na kupata huduma ya Umma hadi rushwa. karibu sana. kama vipi natkusubilia pale yenu bar, ukivuka mataa ya Ubungo nambie.