yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,227
- 4,894
Umewahi kwenda vijijini ukaona nyumba watu wanazo ishi zinafananaje? Mnajisemea tu!! Kwanza toka zamani Wahaya walikuwa na utamaduni wa kujenga kijijini kwanza kabla hajajenga mjini - nambo mengi unayo zungumza humu ni ya kubuni tu - mtasena loloye tu kutaka kufurahisha Baraza.
Kitu kingine ambacho mnasahau ni kwamba Mkoa wa Kagera una Makabila zaidi ya moja siyo kila Mzaliwa wa Kagera ni Mhaya.
Bahaya bana
Ila sista zenu watamu sana wanapenda kutererwa hahahahaha
Ila hakuna muhaya tajiri wala muhaya mvumbuzi wa kitu chochote
Mtabakia kujivimbisha tuuu na kujigamba
Sifa yenu kubwa mnaijua hahahaha aisee bahaya bana