Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Umewahi kwenda vijijini ukaona nyumba watu wanazo ishi zinafananaje? Mnajisemea tu!! Kwanza toka zamani Wahaya walikuwa na utamaduni wa kujenga kijijini kwanza kabla hajajenga mjini - nambo mengi unayo zungumza humu ni ya kubuni tu - mtasena loloye tu kutaka kufurahisha Baraza.

Kitu kingine ambacho mnasahau ni kwamba Mkoa wa Kagera una Makabila zaidi ya moja siyo kila Mzaliwa wa Kagera ni Mhaya.

Bahaya bana

Ila sista zenu watamu sana wanapenda kutererwa hahahahaha

Ila hakuna muhaya tajiri wala muhaya mvumbuzi wa kitu chochote

Mtabakia kujivimbisha tuuu na kujigamba

Sifa yenu kubwa mnaijua hahahaha aisee bahaya bana
 
Aisee wachagga huko watoe kabisa kwanza inajulikana kabisa kati ya makabila yasiyoendekeza ngono Tanzania wachagga wanaongoza.

Wengi wanasemaga hapa wanawake wa kichagga hawajui mapenzi kabisa mwanamke wa kichagga ni mtafutaji na mchapakazi zaidi hata ya wanaume.



Sio kwamba hawaendekezi ngono,ila n kaz kuwaoa coz hiyo kauli ya uchapakaz tamaaa hawaishiwi,.....Wanagongwa huku na.kule...kama wabisha jarbu fanya utafiti hata viwanja dar ..km kona bar,ambiance, sokotq nk..nenda mwanza vila park,njoo moro samaki samaki nenda iringa,mbeya carnival..kila wamejaa wao wanaongoza kujiuza...so nw wanatumia **** km fursa....wachaga,wahaya na wanyakyusa na.kabila.flan la singida ndio waongoza kujiuza hapa tz......

Km hiyo haitoshi,angalia masugar mamy weng n.kabila gan..wanaanza wangon.wanafwat wachaga.....dar hapo pamoja na waume zao wanapesa but.huchepuka kwa vjana...na.jamaa zangu wanajilia tuu

So.usiseme hawapend ngono, wanapenda coz fursa kwao..wezi ukizima jiandae kusulubika....na.bahat nao sana pale napo taka kisuzio
 
Sio kwamba hawaendekezi ngono,ila n kaz kuwaoa coz hiyo kauli ya uchapakaz tamaaa hawaishiwi,.....Wanagongwa huku na.kule...kama wabisha jarbu fanya utafiti hata viwanja dar ..km kona bar,ambiance, sokotq nk..nenda mwanza vila park,njoo moro samaki samaki nenda iringa,mbeya carnival..kila wamejaa wao wanaongoza kujiuza...so nw wanatumia **** km fursa....wachaga,wahaya na wanyakyusa na.kabila.flan la singida ndio waongoza kujiuza hapa tz......

Km hiyo haitoshi,angalia masugar mamy weng n.kabila gan..wanaanza wangon.wanafwat wachaga.....dar hapo pamoja na waume zao wanapesa but.huchepuka kwa vjana...na.jamaa zangu wanajilia tuu

So.usiseme hawapend ngono, wanapenda coz fursa kwao..wezi ukizima jiandae kusulubika....na.bahat nao sana pale napo taka kisuzio
We hata hujui wachagga naona unafananisha kabila fulani la kaskazini yapo kama mawili ni maarufu sana kwa hiyo biashara na wachagga.

Naona unavyowasikia wanaongea lafuthi inayofanana unaconclude ni wachagga unatakiwa uwaulize kabila lao sio kufananisha lafudhi yao.



 
Ubinafsi, umalaya, masifa ya kijinga nini umhimu wenu kwa taifa hili bora uzungumzie wasukuma wanaoifanya mjini kote isikose nyama ya ng'ombe, dada zenu pia hawaaminiki kwenye ndoa zaidi mnaoana wenyewe.
 
Baada ya janga la tetemeko juzi kati niliamua kitembelea Bukoba.Kuanzia siku hiyo siwachukii tena kwa uhaya wao bali nawaonea huruma.Mazingira na maisha ya wahaya ni duni na mabaya mno ndio maana wakitoka nje ya Kagera wanapigana kufa na kupona kuutafuta UKUBWA ili wajifariji!
 
We hata hujui wachagga naona unafananisha kabila fulani la kaskazini yapo kama mawili ni maarufu sana kwa hiyo biashara na wachagga.

Naona unavyowasikia wanaongea lafuthi inayofanana unaconclude ni wachagga unatakiwa uwaulize kabila lao sio kufananisha lafudhi yao.



We unazan nishinde na.dem.usiku.bila.kujua jina.lake..majina.ukoo.ya.kichaga.mbona.nayajua..temu,mushi,temba,minja,nkya nk..kuna.haja.ya kuuliza.kabila.mpk.hapo

Anyway usiwatete sana.jaribu mwenyewe...km zaid ya mala 14
Eiza utapata
Mchaga
Mnyakyusa
Muhaya
Mngoni

Hawa place zao hawana.ushindan

Ulipo.sema.wachaga hawaendekez ngono,naweza sema.yes wao wameweka.ngono.km.fursa,tofaut na wazaramo pamoja wangoni...but

Mwisho wa siku malaya n.malaya tuu

Na wasichana wapenda.pes wanakazwa haswaa maana hamna namna si nalipia
 
Nilioa mhaya asubuhi jioni nikafumania sioni ustaraabu wa Kabila hili zaidi ni kabila la machukizo, mleta mada kama we ni msomi na unajua tafiti natumai kupitia Uzi wako huu utakuwa umepata kitu juu ya kabila lako.
 
Mimi huwa nashangaa sana,mkoa umejaaliwa maprof,ziwa victoria,mito yenye kutiririsha maji mda wote,aridhi yenye rutuba,mvua mda wote, mipaka 3 yenye kuingiza fedha za kigeni,watu wenye akili nyingi.Lakini hausongi mbele.Angalia nyumba zilizo angushwa na tetemeko zote zimejengwa kwa udongo.Hivi nyinyi wahaya mngekosa mvua kama watu wa mvumi pale mngeishi kweli?Mi nadhani watu wenye akili zaidi ni wagogo maana mvua inakata hawavuni na bado wanajenga na kula kama kawaida.
Ila.jamaaa wanapenda sifa.aisee,
Akili.wanazo.pia..ila nilivyo ishi.nao kwao.nahisi moja kitu.kina.waaffect.hawq jamaa.n.moyo.wa.huruma,waoga.na.wapole.mnooo.aisee,nazan.na.ushikiliona.zero

Moja ya sifa ya kufanikiwa.nazan.usiwe.na roho ya huruma.huruma.na.upole upole....ebu tazama.hata wabena.,wahehe uzube uzube.woga woga ndio mana watu wanawatumia

Tqzama.roho za mabint wa.kichaga mbele ya pesa anakumaliza
 
We unazan nishinde na.dem.usiku.bila.kujua jina.lake..majina.ukoo.ya.kichaga.mbona.nayajua..temu,mushi,temba,minja,nkya nk..kuna.haja.ya kuuliza.kabila.mpk.hapo

Anyway usiwatete sana.jaribu mwenyewe...km zaid ya mala 14
Eiza utapata
Mchaga
Mnyakyusa
Muhaya
Mngoni

Hawa place zao hawana.ushindan

Ulipo.sema.wachaga hawaendekez ngono,naweza sema.yes wao wameweka.ngono.km.fursa,tofaut na wazaramo pamoja wangoni...but

Mwisho wa siku malaya n.malaya tuu

Na wasichana wapenda.pes wanakazwa haswaa maana hamna namna si nalipia
Unaongea kishabiki na kilimbukeni me nazingatia takwimu za tacaids Moshi ni katika miji inayoshika mkia kwa maambukizi ya HIV Manyara na Tanga vikiwemo shortly kaskazini nzima siongei kwa mihemko by the way sikuzuii uamini kama unavyotaka wewe.



 
Siwezi kuwalaumu Wahaya maana hiyo ndivyo walivyo majisifu na majigambo ni kitu hawawezi kukiepuka hata kidogo.

Hata kama anafagia kwenye ofisi Fulani anasema kuwa anafanya kazi kama environmental officer ni majigambo tu na mbwembwe .


Na tabia ya kabila Fulani kujiona wao ndio superior imeleta matatizo kwenye baadhi ya Nchi zenye makabila machache ila kwa Tanzania hili haliwezitokea kwa wingi Wa makabila.

Ukiangalia na usomi wao nyumba zilizopata maafa nyingi ni cha tope tu yaani Elimu na majigambo hao hayana tija hata kidogo kwenye kubadilisha mkoa wao.



1476161979493.jpg
1476161991290.jpg
1476162003217.jpg
1476162016218.jpg
1476162037745.jpg



Watu Wa mikoa mingine kama Kilimanjaro wao wanafanya mambo wanabadilisha mkoa wao na wao wanafikiria zaidi fedha hata kama ameenda Shule ila hela na kufanya vitu vyenye tija ndio kitu cha msingi kwako.


Sio majisifu wakati nyumba la tope ndio mama anaishi kule kijijini.
 
Huyu nae anakuja na ushabiki
Wachaga wenyewe wanapakimbia
nani amekwambia kuwa tunapakimbia kwetu?
Tunatoka nyumbani tunakwenda kutafuta tukipata tunarudi kwetu kupajenga.
Wachaga tupo mikoa yote TZ tunazifata fursa na sehemu yoyote yenye maendeleo lazima kuwe na mchaga.
Halafu kitu kingne ni kwamba 80% ya wachaga wote tume-elimika tuna akili halafu ni wajanja.
Nyie endeleeni kukaa mikoani mkibanana na wazazi wenu
 
Unaongea kishabiki na kilimbukeni me nazingatia takwimu za tacaids Moshi ni katika miji inayoshika mkia kwa maambukizi ya HIV Manyara na Tanga vikiwemo shortly kaskazini nzima siongei kwa mihemko by the way sikuzuii uamini kama unavyotaka wewe.



Okay

Km.takwimu.za HIV ndio kiashiria cha kwamba sio malaya au.vipi.basi sawa

Dar ipo far away kuliko mikoa ya nyanda za juu kusini..unataka kusema. Njombe wanafanya.sana.ngono kuliko dar??

Kuna kufanya ngono.na.kuzingatia kanuni za usalama,na kuna wanao fanya bila kujar

Kwa.mfano.wanawake weng wanao.jiuza unaweza kukuta kwa.day wanafanya ngono hata na.man watatu tofaut,ila waweza kuta wachache n waasilika kufananisha na.hao sio makahaba...why
Coz mwanamke anae.jitambua hawez fanya ngono bila kujali usalama.wake hata ma.men pia...so watu kusini wao hawa care thus y wanaambukizana.zaid kuliko wa kaskazini na sio kwamba wanapenda ngono kuliko watu wa tanga??

Kuna.kitu.nmeelewa.kuwa
Wahaya wanapenda sifa ,tena.za kijinga jinga
Ingawa n.kweli.class hawa.jamaaa.wana akili.....ila kuna kabila wachaga wao kila.utakapi toa sifa nzur wataka ziende kwao la sivyo mtabishana mpk kesho wkt huo ndio ukweli.......wachanga yes watafutaji na kitu kinawasaidia wanaushilikiano,ila vilevile wana roho mbayaaa.....nazan. ili kufanikiwa sifa moja wapo n roho mbayaa
 
Ahaa wahaya ni mikwara tuu mambo yote mnyamwezi na ukitaka kujua hilo waulize wazungu kuhusu akina prof.lipumba,kapuya, kambaya, mauga,
 
Kuna kaukweli kwambali ila hiyo 1 kwangu haijawahi tokea Primary o&A level Jamaa walkuwa kawaida tu
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom