Shemeji yako hazai huyu na siku akiwa hataki tucheze mpira huwa sim bembelezi ngumi mkononi huyo ni mwamba sana huwezi kumtongoza akiwa barabarani hataki mchezo huyoooooooooooounategemea kupata mtoto au ni shemeji kula tu?
Namuogopa kumwacha aweza kuniuwa huyo mke wangu ni mtemi sanaAnavutia shem usimuache daima.....na kwajinsi alivyo hata kama unataka kumpa talaka mwenyewe unagwaya
Duuuuh Jombaaa kumbe na wewe umo kwa wana michezo, Je yule Mwana riadha wa Zenji nilimwona akiruka vihunzi m.100 hapo uwanja wa taifa je
..Dah huyo mbona kunako 6x6 analainik na kusikiliza mashine inakoboa kama kawaida.....tatizo itakapofika muda anacheua akikubana aisee unaweza kuzimikia hapo hapo kifuani....Huyo dawa yake unampigisha chuma mboga akikolea anatokea mbele kwa mbele na wewe unachomokea kwa nyuma mnakutana bafuni....
haya tena kwa wale wapendao vilivyopea, kimbembe hicho!! KDDDK!!
<TBODY>
</TBODY>
Mpeeni Maksi zenu shemeji yenu huyoooooooooooooooooooooo