Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Jumamosi sikusogea mitaa ya jangwani,nilikuwa nafuatilia kwenye luninga itv,mtoto wangu akaja na kunikuta nime concentrate naye akatulia,kamanda mbowe aliposema peopleesss dogo naye akadakia peopleeess(anajivunza kuongea hivyo huiga karibu kila analosikia).Akifika miaka 6 tu namkamatisha kadi ya chama kabisa sitaki mdhaha