figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwa Lushoto. mia
wakikua wataacha.
wakikua wataacha.
Wanaochangia bajeti wakiona haya matumizi,hakuna la ziada zaidi ya fimbo za tumbo.
Waache watanue mara ya mwisho maana 2015 wananchi watachukua nchi yao na kupata Uhuru. Ama kweli CCM ya sasa ni aheri ya Mkoloni.
msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwa Lushoto. mia
Wapi AlShabaab