Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
...Magamba walituchakachua Mazee vinginevyo walishachapwa Technical knock out!!!Mazungumzo haya ya kuonyeshwa kukatishwa tamaa na Serikali iliyoko madarakani hayakuanza leo,
Toka kabla hata ua uchaguzi na bado matokeo ya uchaguzi tumeyaona,
Sijui tunakosea wapi Tanzania, something went wrong but hatujui ni nini hiyo?