Eti wakuu,umemfukuzia gal tangu 2008,anakuja kukubali mwaka 2012,haya ni mapenz au ni huruma tu jaman?
YAFUATAYO YANAWEZEKANA:
1. Aliokuwa anawapenda wameshaoa, so kaamua liwalo na liwe coz anaona umri unakwenda.
2. Sasa hivi mfuko wako unasoma vizuri. Kwahiyo yale mambo ya "Bayb ninashida na laki mbili, I love you" ndio mahala pake.
3. Amekuonea huruma baada ya kuona umepigana kwa muda mrefu.
4. Hatimaye ameanza kukupenda maana hilo pia linawezekana.
5. ... (Bado natafuta mengine)
Eti wakuu,umemfukuzia gal tangu 2008,anakuja kukubali mwaka 2012,haya ni mapenz au ni huruma tu jaman?
Well, amekukubali baada ya kubwagwa chini na Plan A
YAFUATAYO YANAWEZEKANA:
1. Aliokuwa anawapenda wameshaoa, so kaamua liwalo na liwe coz anaona umri unakwenda.
2. Sasa hivi mfuko wako unasoma vizuri. Kwahiyo yale mambo ya "Bayb ninashida na laki mbili, I love you" ndio mahala pake.
3. Amekuonea huruma baada ya kuona umepigana kwa muda mrefu.
4. Hatimaye ameanza kukupenda maana hilo pia linawezekana.
5. ... (Bado natafuta mengine)
YAFUATAYO YANAWEZEKANA:
1. Aliokuwa anawapenda wameshaoa, so kaamua liwalo na liwe coz anaona umri unakwenda.
2. Sasa hivi mfuko wako unasoma vizuri. Kwahiyo yale mambo ya "Bayb ninashida na laki mbili, I love you" ndio mahala pake.
3. Amekuonea huruma baada ya kuona umepigana kwa muda mrefu.
4. Hatimaye ameanza kukupenda maana hilo pia linawezekana.
5. ... (Bado natafuta mengine)
Eti wakuu,umemfukuzia gal tangu 2008,anakuja kukubali mwaka 2012,haya ni mapenz au ni huruma tu jaman?